NyumbaniShirikisho AZAM

Shirikisho AZAM

HABARI ZAIDI

Simba Yatinga Nusu Fainali ya ASFC kwa Kuichakaza Ihefu Chamazi

0
Michuano ya Kombe la Azam Sports Federation Cup iliendelea hapo jana kwa mchezo mmoja ambapo mchezo huo ulikuwa ni kati ya Simba dhidi ya...

Simba na Ihefu Kukiwasha Leo Michuano ya ASFC

0
Klabu ya Simba SC ambayo inaongozwa na kocha mkuu Robertinho wanatajia kushuka dimbani hii leo kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi...

Mtibwa Sugar Uso kwa Uso Dhidi ya KMC Kombe la Shirikisho...

0
Mchezo mwingine wa leo wa Kombe la Shirikisho la Azam hii leo ni kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya KMC majira ya saa 10:00...

Ihefu Kukiwasha Dhidi ya Pan African Kombe la Azam

0
Timu ya Ihefu inatarajia kushuka dimbani hii kumenyana dhidi ya Pan African kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam majira ya saa 10:00...

Yanga Yatinga Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Azam Kibabe

0
Klabu ya Yanga imetinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam kibabe baada ya kuichakaza Tanzania Prisons kwa mabao...

Yanga Yaipasua Rhino Rangers kwa Mkapa

0
Klabu ya Yanga imeishikisha adabu timu ya Rhino Rangers hapo jana katika dimba la Mkapa baada ya kuitandika kwa mabao 7-0 kwenye mchezo wa...

Simba Yashinda Ushindi Mwembamba Dhidi ya Coastal Union

0
Mechi ya Kombe la FA kati ya Simba dhidi ya Coastal Union ilimalizika kwa mnyama kupata ushindi mwembamba katika kipindi cha pili cha mchezo...

Simba na Coastal Union Mechi ya Kukata na Shoka

0
Mechi nyingine ya FA ni ile inayowakutanisha Simba dhidi ya Coastal Union ya Tanga ambao msimu uliopita walicheza fainali na kutolewa dhidi ya Yanga.  Mchezo...

Dodoma Jiji Yashindwa Kufurukuta Mbele ya Azam FC

0
Klabu ya Dodoma Jiji imechakazwa jana kwa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho la Azam katika Dimba...

Azam FC na Dodoma Jiji Mechi ya Kibabe Leo

0
Kombe la Shirikisho la Azam kuendelea hii leo ambapo Matajiri wa Chamazi Azam FC watamenyana na Dodoma Jiji majira ya saa 1:00 usiku katika...