Kiungo mkongwe James Milner ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 40, akihitimisha safari ya miaka 24 katika Ligi Kuu England Premier League yenye mafanikio …
Makala nyingine
Beki wa zamani wa Chelsea FC, César Azpilicueta, ametangaza rasmi kuwa atastaafu soka la ushindani mwishoni mwa msimu huu baada ya kucheza kwa zaidi ya miaka 20 katika kiwango cha …
Nguli wa zamani wa soka la Nigeria, Jay-Jay Okocha amesema bado ana mashaka kuona timu kutoka Afrika ikitwaa Kombe la Dunia 2026 licha ya mafanikio makubwa yaliyoonyeshwa na Morocco katika …
Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand, amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya siku nne ambapo amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini …
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imetangaza rasmi mabadiliko ya uwanja wa mchezo namba 169 wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026, utakaozikutanisha klabu kongwe za Simba SC na …
Edson Arantes do Nascimento Maarufu kama ‘Pele’ ametoa taarifa kuhusu afya yake, akidai kuwa yuko ‘mwenye nguvu’ na ‘ana matumaini makubwa’, baada ya ripoti kuibuka mapema Jumamosi kwamba amekuwa akipokea …
Katika mwendelezo wa Ligi kuu ya NBC hapo jana mshambuliaji wa Azam FC Prince Dube ameendelea alipoishia baada ya kufunga bao kwa mara ya pili mfululizo kwenye ushindi wa 1-0 …
Kaimu Kocha Mkuu wa Azam, Kali Ongala amemsifia mshambuliaji wa kikosi hicho, Prince Dube kutokana na kiwango anachoonyesha. Dube ambaye tangu msimu uliopita hakuwa kwenye kiwango bora kutokana na majeraha …
Mlinda mlango wa zamani wa Arsenal Jens Lehmann anakabiliwa na madai mapya ya kuharibu nyumba ya jirani yake miezi michache tu baada ya kutuhumiwa kuharibu karakana yake mpya kwa msumeno. …
Washauri wa Cristiano Ronaldo wameripotiwa kuzitolea sauti klabu kadhaa za Ligi Kuu ya Uingereza zinazotaka kumsajili nyota huyo wa Manchester United. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno aliondoshwa kwenye kikosi …
Paul Scholes amedai kuwa Jurgen Klopp na Jordan Henderson wametofautiana kutokana na kutokuwepo kwa nahodha wa Liverpool kwenye kikosi chao cha kuanzia. Haya yanajiri baada ya Henderson kuwekwa benchi wakati …
Yanga Vs Simba: HATIMAYE imewadia ile siku iliyokuwa ikusubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka, Tanzania, Afrika Mashariki na Ukanda wa Kusini na kati, ni mchezo wa kukata na …
Kariakoo Derby: Kuelekea mechi kubwa ambayo husimamisha nchi kwa dakika 90, na sio nchi tu bali kwa wapenda soka wote hawatasubiri kusimuliwa, mtoto hatumwi dukani muda huo. Makocha wa timu …
Jumapili, Oktoba 23, 2022, watani wa jadi wa jiji la Dar es Salaam na hapa Tanzania, Yanga na Simba watakutana katika mchezo wa kwanza wa Ligi kuu ya NBC utakaochezwa …
Thibaut Courtois ameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa saba pekee mwaka uliopita, licha ya kushinda pia Tuzo ya Yashin. Kipa huyo wa Ubelgiji alisimama kidete katika lango …
Reece James alikiri kuwa ameambiwa na daktari wa upasuaji anaweza kuwa nje kwa miezi miwili kutokana na jeraha la goti alilopata dhidi ya AC Milan mapema mwezi Oktoba. James alikuwa …
Mchezaji nyota wa Arsenal Kevin Campbell anaamini Mikel Arteta amethibitishwa katika uamuzi wake wa kumwondoa Pierre-Emerick Aubameyang msimu uliopita. Mshambuliaji huyo wa Chelsea alivuliwa unahodha wa Arsenal baada ya kutofautiana …

