Lionel Messi atarejea Barcelona majira ya joto mwaka 2023, baada ya kufanya ‘amani’ na rais wa klabu hiyo kufuatia kuhama kwake miaka miwili iliyopita. Mshindi huyo mara saba wa Ballon …
Makala nyingine
Azam Fc matajiri wa Dar-es-salaam wamekumbana adhabu kutoka kwa maaskari magereza jijini Mbeya baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa klabu ya Tanzania Prisons bao moja kwa bila. Azam wanashindwa kupata …
KIKOSI cha Azam tayari kimewasili Jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho ijumaa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam baada ya …
MWAMUZI ambaye anakumbukwa zaidi kutokana na kuchezesha mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga na Azam, Ahmed Arajiga amelamba dili la kuchezesha mechi za kufuzu AFCON chini ya miaka 17. …
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara klabu ya Yanga kupitia rais wake Mhabdishi Hersi Said, amesema wataanza kutangaza vijana watakaoitumikia klabu hiyo kwenye idara ya mawasiliano. Katika ghafla ya …
Ali Kamwe mwandishi na mchambuzi wa soka katika kituo cha Azam Media inasemekana anakaribia kutangazwa kama Afisa Habari mpya katika klabu ya Yanga. Baada ya aliekua afisa habari wa Yanga …
Bernard Morrison mchezaji machachari wa klabu ya Yanga ataukosa mchezo wa Simba unaotarajiwa kupigwa oktoba 23 mwaka huu. Morrison ambae amefungiwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) baada …
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez, amefanikiwa kupata uteuzi kupitia shirikisho la mpira wa mguu barani Afrika CAF. Barbara amechaguliwa kua makamu wa Rais wa kamati ya …
Klabu ya soka ya Simba kupitia msemaji wake bwana Ahmed Ally ameeleza kikosi hicho kitasafiri kesho siku ya Ijumaa kuelekea Visiwani Zanzibar. Katika safari hiyo ya kuelekea Visiwani Zanzibar inaelezwa …
Klabu ya Simba imefanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya Afrika baada ya kushinda mchezo wake wa hatua ya awali wa ligi ya mabingwa barani Afrika. Wekunda wa msimbazi wanafanikiwa kwenda …
Juma Mwambusi kocha wa zamani wa klabu ya Mbeya City,Azam, na Yanga amefanikiwa kujiunga na klabu ya Ihefu Fc ya jijini Mbeya. Kocha huyo ametangazwa leo rasmi na mabingwa hao …
MWENYEKITI wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam, Lameck Nyambaya amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani wikiendi hii kwa ajili ya kuzisapoti timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. Timu …
STRAIKA wa Geita Gold, George Mpole ameahidi kupindua matokeo kuelekea kwenye mchezo wao wa marudiano wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Hilal Al Sahil ya nchini Sudan. Geita …
STRAIKA wa Ihefu, Jaffar Kibaya amerejea mazoezini rasmi baada ya kupata majeraha wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Kibaya alijiunga na kikosi hicho kwenye …
Liverpool na Rangers wapo kundi moja Ligi ya Mabingwa ya Uingereza hatua ya makundi; Erling Haaland kuwakabiri tena waajiri wake wa zamani Borussia Dortmund; Chelsea kukutana na Milan, Salzburg na …
Benchi la ufundi la Coastal Union limefunguka kuwa kuwapoteza nyota wao Akpan na Sopu jambo hilo linawapa changamoto kubwa katika kutengeneza kikosi chao cha msimu ujao. Akpan amejiunga na klabu …
Mchezaji wa zamani wa klabu za Arsena na Barcelona Cesc Fabregas amebadili mawazo yake kwenye kinyanganyiro cha mshindi wa Ballon d’Or mwaka huu na kusema kuwa mshindi mshambuliaji wa klabu …
Mkurugenzi wa zamani wa klabu ya Ajax Marc Overmars amechaguliwa kuwa mkurugenzi mpya wa ufundi kwenye klabu ya Ubelgiji ya Antwerp ni mwezi tu baaada ya kujiudhuru kazi kwenye klabu …
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya brazil Ronaldo siku ya Jumamosi alikuwa kwenye mazungumzo na klabu ya Cruzeiro klabu yake ya kwanza kucheza mpira wa kulipwa kuhitaji kuinunua. …
Romelu Lukaku anahitaji ushirikiano zaidi wa wachezaji wenzie wa Chelsea, kutoka kwa mchezji wa kimataifa wa Ufaransa David Trezeguet. Lukaku ambaye alilejea Chelsea akitokea Inter Milan kwa dau la £97.5 …