Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
Makala nyingine
Inaaminika na ipo wazi John Bocco kuwa ndiye mshambuliaji mzawa bora kwenye Ligi Kuu Bara Kwa takribani miaka 10 mfululizo akifunga zaidi ya mabao 100. Bocco ameweka rekodi hiyo akiwa …
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Azizi KI kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kuwa bora akizipa tabbu nyavu kwenye mechi ambazo anacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24. Tayari amefunga …
Kocha msaidizi wa Simba Seleman Matola (Veron) ameweka wazi kuwa ligi inakwenda ukingoni jambo ambalo linaongeza nguvu kwa kila timu kupambana kupata matokeo. Timu hiyo kwenye mechi tatu zilizopita ilipata …
BAADA ya kucheza mechi 18 za Ligi Kuu Bara na kuruhusu mabao 18 benchi la ufundi la Simba limebainisha kuwa watafanyia kazi makosa yanayotokea kwenye mechi zao katika uwanja wa …
Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema wanatambua mchezo dhidi ya Azam FC utakaopigwa wikiendi hii hautakuwa mwepesi licha ya kuwa na mwendo mzuri katika mechi zilizopita. Kocha huyo amebainisha …
Ikiwa joto la ligi ya mabingwa barani Afrika lizidi kupamba moto baada ya Droo kufanyika siku ya Jumanne, unaambiwa hivi mabingwa wa ligi ya Afrika Kusini Mamelodi Sundowns wametuma (Match …
Mechi nyingine ya kibabe itakuwa ni hii ya Singida FG dhidi ya Namungo ambapo timu zote mbili zimetoka kupoteza mechi zao zilizopita kwenye ligi. Mechi hii itapigwa majira ya saa …
Ligi kuu ya NBC Tanzania inatarajiwa kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa usiku utakuwa ni kati ya Simba SC dhidi ya Mashujaa kutoka kule Kigoma ambao wapo …
Klabu ya Azam Fc imetoa taarifa kwa umma na kuweka wazi kua kuna vilabu viwili vimetuma ofa ya kumtaka mchezaji wake Prince Dude ambaye ameomba kuondoka klabuni hapo. Taarifa ya …
LICHA ya kupata ushindi dhidi ya Namungo, Hadithi itabaki kuwa mbaya Kwa mashabiki wa Klabu hiyo kwani mpira waliocheza Yanga ulikuwa mkubwa sana. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja …
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa kwasasa ni kupata pointi tatu mbele ya Coastal Union wakiwa ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo uliopita …
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga wamerejea kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kupata matokeo ya ushindi dhidi klabu ya Namungo mchezo ulipigwa mkoani Lindi. …
KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha aliondoka jana Machi 7 kwa ajili ya kuelekea nchini Algeria atakuwa huko kwa muda wa siku tano akifanya kozi ya ukocha iliyo chini ya …
Sakata la mshambuliaji Prince Dube limeingia sura mpya baada ya nyota huyo raia wa Zimbabwe kudai ndani ya klabu ya Azam viongozi wa klabu hiyo hufurahia mafanikio ya timu zingine …
Mshambuliaji wa klabu ya Azam ambaye ameandika barua ya kutaka kuondoka klabuni hapo Prince Dude amefunguka makubwa ambayo yamewashtua wengi, Huku kubwa likiwa kuwashtumu viongozi wa timu hiyo kuwahujumu. Mshambuliaji …
Kocha wa Simba Abdelhack Benchikha, amesema kuwa haitakuwa rahisi kucheza na Jwaneng Galaxy kwa kuwa mara zote huwa hawabariki. “Galaxy sio timu rahisi ni kama jeshi lisilotabirika, hakuna aliyedhani kama …