HABARI ZAIDI
Sakho Aitwa Senegal kwa Mara ya Kwanza
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha Senegel chini ya kocha Alliou Cisse ambacho kitacheza michezo miwili ya kufuzu...
Cadric Kaze Ateuliwa Kuinoa Stars AFCON
Kocha wa timu ya taifa Tanzania Taifa Stars, Adel Mrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 atakao ambatana nao kwenye timu ya taifa kama...
Chama Aapa Kuimaliza Horoya| Akumbushia Mechi dhidi ya AS Vita, Nkana
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC Clatous Chama amekuwa shujaa kwa muda mrefu sana tangu ajiunge na mnyama msimu wa 2017 mpaka hivi, amefanya yasiyowezekana...
Beatrice na Rahma Waendelea na Mazoezi Mepesi
Mabondia wanawake wanaoiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza katika mashindano ya 13 ya Ubingwa wa Dunia (IBA) wameendelea na mazoezi mepesi jana jioni kujiweka...
US Monastir Yatua Dar es salaam Tayari kwa Kuwavaa Yanga
Klabu ya US Monastir yatua jijini Dar es salaam hii leo kwaajili ya mchezo wao wa siku ya Jumapili wa Kombe la Shirkisho dhidi...
Horoya Yatua Dar es salaam Kwaajili ya Kukipiga Dhidi ya Mnyama...
Timu ya Horoya imetua hii leo jijini Dar es salaam kwaajili ya mchezo wao wa kesho dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kupigwa majira ya...
Chama Mchezaji Bora wa Wiki Caf
Kiungo wa klabu ya Simba Clatous Chama amefanikiwa kuchaguliwa kua mchezaji bora wa wiki wa michuano ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya raundi...
Simba Hawako Tayari Kuishia Makundi
Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally amezungumzia maandalizi ya kikosi cha Mnyama kuelekea mchezo wao muhimu dhidi ya Horoya, na kubainisha kuwa hawako tayari...
Ahmed Ally: Simba Tunacheza Mpira wa Malengo| Sisi Sio Wabovu
Afisa Habari wa Simba SC Ahmed Ally amesema kuwa wekundu wa Msimbazi wana Lunyasi wanacheza mpira wa malengo, kuelekea mechi yao ya Ligi ya...
Simba ya 9 kwa Ubora CAF| Yanga Yangapi?
Linapokuja suala la ubora wa vilabu Simba SC mara nyingi hufanya vizuri sana, na sasa Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Kujisajili Meridianbet ni Rahisi, Hauwezi Kukwama!
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu
SANGIZYO on Paul Pogba: Afungua Milango kwa Vilabu vya Uingereza