Wednesday, March 22, 2023
NyumbaniSOKA LA BONGO

SOKA LA BONGO

HABARI ZAIDI

Sakho Aitwa Senegal kwa Mara ya Kwanza

0
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha Senegel chini ya kocha Alliou Cisse ambacho kitacheza michezo miwili ya kufuzu...

Cadric Kaze Ateuliwa Kuinoa Stars AFCON

0
Kocha wa timu ya taifa Tanzania Taifa Stars, Adel Mrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 atakao ambatana nao kwenye timu ya taifa kama...

Chama Aapa Kuimaliza Horoya| Akumbushia Mechi dhidi ya AS Vita, Nkana

0
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC Clatous Chama amekuwa shujaa kwa muda mrefu sana tangu ajiunge na mnyama msimu wa 2017 mpaka hivi, amefanya yasiyowezekana...

Beatrice na Rahma Waendelea na Mazoezi Mepesi

0
Mabondia wanawake wanaoiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza katika mashindano ya 13 ya Ubingwa wa Dunia (IBA) wameendelea na mazoezi mepesi jana jioni kujiweka...

US Monastir Yatua Dar es salaam Tayari kwa Kuwavaa Yanga

0
 Klabu ya US Monastir yatua jijini Dar es salaam hii leo kwaajili ya mchezo wao wa siku ya Jumapili wa Kombe la Shirkisho dhidi...

Horoya Yatua Dar es salaam Kwaajili ya Kukipiga Dhidi ya Mnyama...

0
Timu ya Horoya imetua hii leo jijini Dar es salaam kwaajili ya mchezo wao wa kesho dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kupigwa majira ya...

Chama Mchezaji Bora wa Wiki Caf

0
Kiungo wa klabu ya Simba Clatous Chama amefanikiwa kuchaguliwa kua mchezaji bora wa wiki wa michuano ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya raundi...

Simba Hawako Tayari Kuishia Makundi

0
Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally amezungumzia maandalizi ya kikosi cha Mnyama kuelekea mchezo wao muhimu dhidi ya Horoya, na kubainisha kuwa hawako tayari...

Ahmed Ally: Simba Tunacheza Mpira wa Malengo| Sisi Sio Wabovu

0
Afisa Habari wa Simba SC Ahmed Ally amesema kuwa wekundu wa Msimbazi wana Lunyasi wanacheza mpira wa malengo, kuelekea mechi yao ya Ligi ya...

Simba ya 9 kwa Ubora CAF| Yanga Yangapi?

0
Linapokuja suala la ubora wa vilabu Simba SC mara nyingi hufanya vizuri sana, na sasa Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu...