Kocha mpya wa klabu ya Simba Fadlu Davids inaelezwa hajaridhishwa na mwenendo wa wachezaji wanne wa kigeni ndnai ya trimu hiyo kuelekea msimu ujao wa 2024/25. Fadlu Davids ambaye yupo …
Makala nyingine
KLABU ya Simba imemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Jisajili …
KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anashindwa kujizuia na kuchekelea kimtindo namna washambuliaji wapya wa timu, Prince Dube na Jean Baleke walivyoanza maisha ndani ya timu hiyo, akisema namna bora …
BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka …
MABOSI wa Simba wamerudi tena na nguvu kubwa wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku. Simba …
Klabu ya Simba imerejea kwenye mbio za kumuwania winga wa klabu ya As Vita kutoka nchini Congo Elia Mpanzu ambaye amekua akifukuziwa kwa muda mrefu na klabu hiyo. Simba imefanikiwa …
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally …
NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman Nado ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuona kwamba wanatwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu mpya wa 2024/25 kutokana na maandalizi mazuri ambayo …
MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali na Msanii Mkubwa Afrika Ali Kiba walikutana kwenye uzinduzi wa Simba Day Morogoro, ambapo safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Mikumi ikiendelea. …
Klabu ya Coastal Union imesema inausubiri Uongozi wa Simba wakae meza moja kulimaliza pembeni sakata la usajili wa beki Lameck Lawi ambaye shauri lake lilikuwa kkamati ya usuluhishi ya TFF. …
Miguel Gamondi amesema mchezaji wake Prince Dube hayupo kwenye kiwango bora, ikiwamo kutokuwa na utimamu kwa mwili kutokana na kutocheza soka kwa muda mrefu, huku akibainika angalau Jean Beleke alionyesha …
UBAYA UBWELA, Mashabiki wa Simba SC wameitikia wito katika safari ya kwenda Hifadhi ya Mikumi mkoani Morogoro kwa ajili ya uzinduzi wa Simba Day ambapo kilele kitakuwa Agosti 3 kwenye …
BAADA ya taarifa kusambaa kuhusu kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis amekimbilia Norway, uongozi wa klabu hiyo umesema utamchukulia hatua za kinidhamu ikidai ni mtoro. Jisajili hapa kuwa wa kwanza …
Golikipa wa klabu ya Simba raia wa kimataifa wa Morocco Ayoub Lakred inaelezwa amepata majeraha akiwa kwenye kambi ya klabu hiyo iliyoko nchini Misri ambapo anaweza kukaa nje ya uwanja …
Winga wa klabu ya Simba Kibu Denis bado hakijaeleweka na klabu yake ya Simba mpaka sasa ambapo licha ya mchezaji huyo kuongezewa mkataba hajaripoti kambini mpaka sasa. Mkataba wa Kibu …
Haji Manara El Bugatti amesema adhabu yake ya kufungiwa kujihusisha na soka kwa kipindi cha miaka miwili (2) iliyokuwa imetolewa na shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) imemalizika rasmi …
KIUNGO wa Yanga Stephen Aziz Ki alisema kuongezwa kwa Clatous Chama, Prince Dube na Jean Baleke ni kama kutamrahisishia kazi alizokuwa akizifanya msimu uliopita na wakati mwingine kuigharimu timu. Jisajili …