Makala nyingine

Kocha mpya wa klabu ya Simba Fadlu Davids inaelezwa hajaridhishwa na mwenendo wa wachezaji wanne wa kigeni ndnai ya trimu hiyo kuelekea msimu ujao wa 2024/25. Fadlu Davids ambaye yupo …

KLABU ya Simba imemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Jisajili …

BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka …

MABOSI wa Simba wamerudi tena na nguvu kubwa wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku. Simba …

Klabu ya Simba imerejea kwenye mbio za kumuwania winga wa klabu ya As Vita kutoka nchini Congo Elia Mpanzu ambaye amekua akifukuziwa kwa muda mrefu na klabu hiyo. Simba imefanikiwa …

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally …

NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman Nado ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuona kwamba wanatwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu mpya wa 2024/25 kutokana na maandalizi mazuri ambayo …

BAADA ya taarifa kusambaa kuhusu kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis amekimbilia Norway, uongozi wa klabu hiyo umesema utamchukulia hatua za kinidhamu ikidai ni mtoro. Jisajili hapa kuwa wa kwanza …

Golikipa wa klabu ya Simba raia wa kimataifa wa Morocco Ayoub Lakred inaelezwa amepata majeraha akiwa kwenye kambi ya klabu hiyo iliyoko nchini Misri ambapo anaweza kukaa nje ya uwanja …

Winga wa klabu ya Simba Kibu Denis bado hakijaeleweka na klabu yake ya Simba mpaka sasa ambapo licha ya mchezaji huyo kuongezewa mkataba hajaripoti kambini mpaka sasa. Mkataba wa Kibu …

KIUNGO wa Yanga Stephen Aziz Ki alisema kuongezwa kwa Clatous Chama, Prince Dube na Jean Baleke ni kama kutamrahisishia kazi alizokuwa akizifanya msimu uliopita na wakati mwingine kuigharimu timu. Jisajili …

1 2 3 4 116 117 118