ALI KAMWE: WACHEZAJI 6 MPAKA 7 YANGA WAMNAANZA MAMELODI

Ally Shaban Kamwe, Afisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Sc amesema kuwa watu hawataki kusema ukweli kuwa wapo baadhi ya wachezaji wao wanaanza kwenye kikosi cha Mamelody Sundowns.

Kamwe amemiminika Kwa kusema; “Hii ni fact na mchambuzi anayeweza aje tufungue mjadala.ali kamwe“Ingekuwa miaka ya zamani Wachezaji wetu wa Yanga Sc kuingia kikosi cha Mamelodi Sundowns ilikuwa shida ila kwa Yanga Sc hii Wachezaji 6 mpaka 7 wanaanza kwenye kikosi cha Mamelodi Sundowns.

“Wachambuzi chambueni mnavyoweza, na Mchambuzi anayeweza aje hapa tufungue Mjadala, taja wako nitaje Wangu. Huu mchezo tunautaka na tumenuwia Kushinda,” alisema ALI KAMWE

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.