AZAM FC WANA JAMBO LAO KIMATAIFA
Makala iliyopita
AZIZ KI ALIYAFANYA HAYA MSIMU ULIOPITA
Makala ijayo
Farid Mussa: Chama Alinifanya Nisiende Simba.
Hasheem Ibwe, Ofisa Habari wa Azam FC ameweka wazi kuwa kila kitu kipo kwenye mpango bora na walikuwa wanahitaji kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.
“Mpango wa mwanzo ilikuwa kufanya vizuri kwenye ligi ya ndani imekuwa hivyo na sasa tunakwenda kwenye anga la kimataifa tutafanya vizuri kwa kuwa mipango ipo vizuri.”