Dili la Feisal Kwenda Simba Limekufa

Makala iliyopita
Calafiori ni Mali ya ArsenalMakala ijayo
Ronaldo Kuachana na Ureno Baada ya Miaka 20
Klabu ya Simba ilikua ina mpango wa kumsajili kiungo huyo wa Azam baada ya kuondokewa na kiungo wake Clatous Chama ambaye ametimkia klabu ya Yanga, Lakini mpaka sasa inaelezwa dili hilo limekufa kwakua Azam Fc wameweka ugumu na Mnyama amehamishia mawindo wake upande mwingine.