FEISAL NA AZIZ KI WATUKUMBUSHA MBALI KWA HILI

Makala iliyopita
OKRAH NI MAAJABU PEKEE YANAWEZA KUMBAKIZA YANGAMakala ijayo
YANGA KUSHUSHA VYUMA VYA MAANA USAJILI HUU
Mabao hayo matatu kiungo huyo Feisal Salum mwenye tuzo ya kiungo bora wa msimu aliyotwaa kwenye usiku wa Tuzo za Wanamichezo Zanzibar alifunga kwenye mchezo dhidi ya Tabora United ambayo ina uhakika wa kushiriki ligi msimu ujao wa 2024/25.
Hat Trick ya pili Aziz Ki aliwatungua Tanzania Prisons kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni funga kazi Mei 28 2024 alipokamilisha kwa kufunga jumla ya mabao 21 akisepa na tuzo ya mfungaji bora.