Gadiel Michael Kurejea Bongo

Rais wa klabu ya Singida Fountain Gates Japhet Makau amethibitisha kuwa nyota Gadiel Michael hatocheza ndani ya klabu ya Cape Town ya Africa Kusini msimu ujao.

“Mpaka sasa tumeshafuatwa na Vilabu zaidi ya Saba kutoka Ligi Kuu Afrika Kusini (PSL) vyote vinamtaka Gadiel Michael. Bado tunaangalia ofa yenye manufaa kwetu na mchezaji ili tuweke wazi Klabu itayomchukua ila kwasasa ni vizuri nisipovitaja Vilabu hvyo.gadiel michael“Lakini hakika ni kwamba msimu ujao hatoitumikia Cape Town Spurs ambayo amekua akiitumikia msimu huu kwenye ligi kuu ya Afrika Kusini maarufu kama (PSL), Huku akionesha kiwango bora sana kwenye ligi hiyo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.