GAMONDI AUKUBALI MZIKI WA OKRAH

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi amesema kuwa namna ambavyo Augustine Okrah amecheza kwenye mechi za hivi karibuni, ni wazi Kuna kitu amekiongeza kwenye timu hiyo.

Gamondi aliongeza kuwa, Kwa Sasa Wana uhuru wa kushambulia vizuri zaidi wakiwa wanatokea Pembeni kutokana na ubora wa kiungo huyo raia wa Ghana.gamondi“Kuna Muda tunahitaji kupata mabao kupitia pembeni na Okrah ameonyesha uwezo huo, spidi yake na uwezo wa kutengeneza nafasi umeongeza kitu kwenye timu.

“Naamini atatusaidia mbeleni,ni mchezaji mzuri na washambuliaji watatamani kucheza na winga kama yeye,” alisema Gamondi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.