JANA, Kipa Beno Kakolanya aliandika Ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuweka wazi kuwa hatakuwa sehemu ya kikosi hicho Msimu Ujao.
Kakolanya ameweka wazi kuwa anaondoka Fountain Gate FC huku Fountain wenyewe wakiwa wamekaa kimya hadi Sasa.
Hapo ndiyo Meridian Sports ikamtafuta C.E.O wa Fountain Gate FC Thabitha Kidawawa Ili kujua nini kimetokea na haya ndiyo yalikuwa majibu ya kilichotokea.