Mkude Kupewa Thank You Yanga

Makala iliyopita
Jinsi Chama Anavyotishia Nafasi ya Mudathir Yahya
Kiungo huyo ambaye alijiunga na mabingwa hao wa ligi kuu ya NBC akitokea klabu ya Simba amekua hana msimu bora sana ndani ya kikosi cha Yanga, Kwani amekua hapati nafasi ya kucheza mara kwa mara hivo klabu hiyo inaelezwa kufikia uamuzi wa kuachana nae.