Mussa Mbisa Anaitaka Tuzo ya Kipa Bora wa Ligi Kuu

Awali Mussa Mbisa alikuwa mchezaji wa klabu ya Coastal Union yenye makazi yake jijini kabla ya kusajiriwa na labu ya Tanzania Prison kwa mkataba wa miaka miwili

Akizungumzia hilo, Mbisa amesema kuwa “Nimefurahi sana kujiunga na Tanzania Prisons na ninaamini hapa nilipo ni sehemu sahihi kwangu kufanya vizuri zaidi kwa msimu ujao kwani ni timu inayoshiriki ligi kuu.

“Malengo yangu ni kufanya vizuri msimu ujao kuelekea malengo yangu kwani mipango yangu ni kuingia kwenye orodha ya makipa bora hata kuwa mshindi wa tuzo.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.