Ntibazonkiza Apewa Thank You Simba

Makala iliyopita
Saidoo wa Pili Kupewa Thank You Simba, Sababu ni HiziMakala ijayo
Napoli Wamlilia Kvaratskhelia
Kiungo huyo wa kimataifa wa Burundi alipojiunga na klabu ya Simba alikua moja ya wachezaji tegemezi klabuni hapo ambapo mpaka alifanikiwa kumaliza kama mfungaji bora kwenye msimu wa mwaka 2022/23, Lakini msimu uliomalizika mchezaji huyo alionekana kuporomoka ubora na kufikia hatua ya klabu ya Simba kutomuongezea mkataba.