Wakati kukiwa na fukuto kwamba huenda Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga atakutana na mkono wa Thank You, kocha huyo bado yupoyupo kwa kuwa ameanza kuwanoa wachezaji wa timu hiyo …
Makala nyingine
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa ikiwa watani zao wa jadi, Yanga watahama Uwanja wa Azam Complex na kuchagua Uwanja wa KMC, Mwenge basi …
Ali Kamwe, Meneje awa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga amesema kuwa hawakuwa na mchezo mzuri tangu dakika ya kwanza mbele ya Tabora United hivyo wameyapokea matokeo kinyonge wanaamini watarejea …
Uongozi wa Yanga umebainisha kuwa kupoteza mchezo wao wa kwanza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25 ni sehemu ya mpira na wanakwenda kufanyia kazi makosa yaliyopita kwenye mechi zinazofuata. Yanga …
Ahmed Ally Meneja wa Idara Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa ufungaji wa mabao kwa mshambuliaji wao mpya Steven Mukwala sio wa kawaida kutokana na kufanya maamuzi magumu kwenye nyakati …
Baada ya kucheza michezo nane bila kupoteza wala kuruhusu goli hatimae klabu ya Yanga leo imepoteza mchezo mbele ya klabu ya Azam Fc kunako ligi kuu ya NBC baada ya …
Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa timu hiyo ina maajabu mengi kutokana na kuwa kwenye ubora katika mechi zote pamoja na wachezaji wanaojituma muda wote. Ikumbukwe kwamba Yanga …
Klabu ya Fountain Gate ina balaa zito kwa kuzipoteza timu zote 15 Bongo katika eneo la utupiaji mabao ikiwa namba moja kwa safu kali ya ushambuliaji. Timu hiyo baada ya …
Uongozi wa Simba umebainisha kuwa utawaliza wengi msimu huu kutokana na uimara wa kikosi walichonacho ndani ya uwanja pamoja na benchi bora la ufundi. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, …
Golikipa nambari moja wa Klabu ya Yanga Djigui Diarra imethibitishwa ataukosa mchezo wa Ligi ya NBC Tanzania bara dhidi ya Coastal Unioni utakaopigwa Shekh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha leo. …
Leo hii hii Yanga ambao ndio mabingwa watetezi wa ligi watawalika JKT Tanzania kusaka pointi zingine 3 katika dimba la Azam Complex majira ya saa moja usiku. Yanga ndio …
Leo hii ligi kuu ya NBC Tanzania inaendelea kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa Simba SC ambaye atakuwa ugenini dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo …
Winga wa Simba Joshua Mutale, amesema amefumba macho na kuziba masikio kuhusu watu wanamponda kutokana na kiwango chake kutowaridhisha wengi akisema kuwa akili yake anaelekeza kwenye ufanisi wa kazi iliyomleta …
Katika kuimarisha kikosi cha Yanga, uongozi wa klabu hiyo kupitia msemaji wao Ali Kamwe umeweka wazi kwamba wameshusha kifaa kipya kutoka nje kwa ajili ya dirisha dogo la usajili. …
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Lionel Ateba raia wa kimataifa wa Cameroon amesema hana hofu na mabeki wa klabu ya Yanga ila anachojua yeye atafunga mchezo huo na klabu yake …
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepanga pia makundi ya klabu bingwa ambapo nchini Tanzania ni Yanga pekee ndiye anayeshiriki kombe hilo baada ya Azam kutolewa hatua ya awali. Yanga SC …
Shirikisho la soka Afrika (CAF ) limehitimisha kazi ya kupanga droo leo hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo klabu ya Simba SC imepangwa Kundi A. Simba imepangwa …
Klabu ya Liverpool imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kupata matokeo ya ushindi leo dhidi ya klabu ya Crystal Palace wakiwa katika uwanja wao …
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC jana usiku imeibuka na ushindi mnono wa bao 4-0, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuanza kuanza kwa msimu …
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kulingana na ratiba sio rafiki wachezaji wake Stephane Aziz Ki na Khalid Aucho kuwa muda wote hawawezi kucheza kwa kiwango bora zaidi. Amesema …