Timu ya Yanga Princess imefanikiwa kuingia Fainali ya michuano ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia …
Makala nyingine
Ligi kuu ya NBC Tanzania hapo jana iliendelea kwa michezo kadhaa ambapo mchezo wa usiku saa 3:00 ulikuwa ni kati ya bingwa mtetezi Yanga vs KMC kule Azam complex ambapo …
Wapinzani wa Yanga kimataifa, CBE SA ya Ethiopia wameipa Yanga jumla ya milioni 35 kwa kufungwa jumla ya mabao 7-0 ndani ya dakika 180 katika anga la kimataifa kwenye Ligi …
Nyota wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua alichoambiwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kabla ya kuingia kwenye mchezo huo. Septemba 22 2024 …
Winga raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba …
Klabu ya Simba imefanikiwa kufuzu harua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika kibabe kabisa baada ya kuifunga klabu ya Al Ahly Tripoli kwa jumla ya mabao matatu kwa …
Klabu ya Simba leo inashuka dimbani majira ya saa kumi kamili jioni kumenyana na klabu ya Ahly Tripoli katika uwanja wa Benjamin Mkapa kwajili ya kutafuta tiketi ya kufuzu hatua …
Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Fadlu Davids kimekwea pipa Jana kuelekea Libya kwa ajili ya maandalizi ya mwisho mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Ahli Tripoli ya …
Mechi nyingine leo ni hii ya KMC ambaye atakuwa mgeni wa Singida Black Stars majira hayo hayo ya saa 10:00 jioni katika dimba la Liti huko Singida. Singida Black Stars …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea hii leo kwa michezo ambayo itapigwa majira ya saa 10:00 jioni ambapo Dodoma Jiji watawaalika nyumbani kwao Namungo Fc. Dodoma Jiji kwenye mechi mbili …
Bado ni kizungumkuti kwenye sakata la kiungo wa Simba Yusuph Kagoma, baada ya klabu ya Yanga kumshitaki mchezaji huyo kwenye Kamati ya Maadili na Hadhi ya Wachezaji iliyopo chini ya …
Kesho Jumatano kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kuna mchezo wa kihistoria unakwenda kuchezwa, kati ya Fountain Gate FC ambao ni wenyeji dhidi ya Ken Gold FC kutoka Mbeya. Fountain Gate …
BAADA YA dili la Winga Mcongo Ellie Mpanzu kufeli majaribio yake na KRC Genk, kwa sasa amerejea Kishansa kuangalia mustakabali wa maisha yake….ukweli ni kwamba Mpanzu hataki Tena kucheza Vita …
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi watakosa huduma ya kiungo wao wa kazi Farid Mussa. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya …
NYOTA wa Tanzania Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko Asia wa msimu wa 2024/25. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya …
YANGA wamewasilisha nyaraka mbili muhimu kwenye shauri linaloendelea la kimkataba kati yao na Mchezaji Yusuph Kagoma pale TFF. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku. Yanga …
BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa …
KLABU ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki wikiendi hii kabla ya kusafiri kwenda Libya kucheza mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Tripoli. Ahmed Ally, Afisa …
KLABU ya Fountain Gate FC inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Mbuni FC tareha 7 siku ya Jumamosi kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Mbuni ambayo inatokea …
MTANZANIA Anayekipiga Sauzi kwenye klabu ya Chippa Utd Baraka Majogoro amesema anatamani msimu huu kufanya vizuri na kuisadia timu hiyo kuchukua ubingwa baada ya kuukosa mwaka jana. Jisajili hapa kuwa …