Selemani Matola, kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Singida Black Stars ambao ni mzunguko wa pili. Kwenye mchezo wa …
Makala nyingine
Wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids hesabu kubwa ni kuingia kwa mkakati kuwakabili wapinzani wao RS Berkane kwenye mchezo wa fainali …
Hatimaye Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga mechi ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu ya mchezo baina ya Yanga na Simba βKariakoo Derbyβ ambao unatarajiwa kuchezwa Jumapili Juni …
Kiungo mahiri wa Klabu ya Yanga, Clatous Chama, bado hajajua hatma yake ya kuendelea kusalia Jangwani kwa msimu ujao wa 2025/26, huku suala hilo likielekezwa moja kwa moja mikononi mwa …
Sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch ugenini kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban Afrika Kusini leo Aprili 27, 2025 imeivusha Simba kwenda hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho …
Chadrack Boka, beki wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mgumu jambo ambalo linawafanya wawe makini kila wanaposhuka uwanjani kusaka pointi tatu. Beki huyo ni chaguo la …
Kikosi cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Aprili 9 2025 kiliandika rekodi ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika kwa ushindi wa penati 4-1 baada …
Pacome Zouzoua kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kila mechi ni ngumu wakiwa uwanjani wanapambana kufanya vizuri kupata matokeo ndani ya uwanja. Aprili 2 2025 baada ya dakika 90 ubao …
Baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya robo fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry, uongozi wa Simba umebainisha kuwa sababu iliyowafanya washindwe kupata ushindi ni …
Uwepo wa kinara wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika ndani ya kikosi cha Simba umewapa jeuri mabosi wa timu …
Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …
Katika suala la kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika, Yanga hawana utani wakiwa ni namba moja kwenye eneo hili …
Ni Kama kazinduka kutoka kuzimu nyota Simba Kibu Denis ambaye jana alifunga kwa mara ya kwanza ndani ya ligi kuu baada ya kumaliza siku takribani 380 bila kuona bao. Lakini …
Inatajwa kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga Azizi Ki huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana …
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo …
Shomari Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa …
Ikiwa ni Jumatatu murua kabisa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa …
Mabosi wa Yanga wamebainisha kuwa hakuna kipengele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 8 2025, saa 1:15 Uwanja wa Mkapa. Na Kwamba watakwenda uwanjani Kama kawaida …
Baada ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya …
Ahmed Arajiga ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025 ambapo wababe wawili wanatarajiwa kukutana Yanga na Simba. …

