SAMATTA KUMALIZIA SOKA LAKE KARIAKOO

Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania nahodha Mbwana Ally Samatta ameeleza uchu wake wa kurudi kucheza timu moja wapo ya Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.

Ikumbukwe, kuwa Samatta amekuwa kwenye nyakati za mwisho za kucheza soka barani Ulaya na mara zote amekuwa akisisistiza juu ya tamaa yake ya kutaka kustaafia Soka kwenye ardhi ya Tanzania.SAMATTASamatta anatamani kuja kumalizia soka lake nchini ili kujua namna soka la nchi hii linavyoendelea na mabadiliko yaliyopo kwani kuna mabadiliko makubwa tangu alipoondoka.SAMATTANa watu wake wa karibu wamedokeza kuwa, anatamani kucheza soka lake kwenye nyakati za mwisho kwenye moja ya timu za Kariakoo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.