Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimemalizana na wapinzani wao Kilimanjaro Wonders kwa maajabu ya mtoto wa maajabu Chasambi kupachika bao huku David Kameta akitoa pasi mbili za mabao kwenye ushindi wa mabao 6-0 katika mchezo wa CRDB Federation Cup uliochezwa jana KMC Complex Dar.