Singida FG Ugenini Leo Dhidi ya Mashujaa

Ligi kuu ya NBC itaendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa kwanza ni kati ya Singida FG dhidi ya Mashujaa ambao ndio wenyeji wa mchezo huo.

Singida FG Ugenini Leo Dhidi ya Mashujaa

Mehi hiyo inatarajiwa kupigwa majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Lake Tanganyika huu ukiwa ni mchezo wa 8 kwa mwenyeji na mchezo wa 9 kwa mgeni wake mpaka sasa.

Mechi iliyopita Mashujaa wamepoteza mchezo wao wakiwa nyumbani wakati kwa upande wa Walima Alizeti wao walipata sare mchezo wao uliopita.

Mwenyeji kwenye mechi hizo alizocheza ameshinda mechi mbili, sare mbili na kupoteza mechi tatu, wakati kwa upande wa Singida wao wameshinda mechi zao mbili, sare tatu na vipigo vitatu.

Singida FG Ugenini Leo Dhidi ya Mashujaa

Tofauti ya pointi kati yao ni pointi moja pekee huku leo hii kila timu ikihitaji ushindi kupanda nafasi inayofuata kwenye msimamo wa ligi. ODDS KUBWA zipo mechi hii pale Meridianbet, inia na ucheze.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.