Yanga Yachukua Pointi 1 Mali

Klabu ya Yanga imeshindwa kuchukua pointi 3 na kuchukua moja pekee kwenye mchezo wa jana huko Mali ambapo walikuwa wakimenyana dhidi ya Real Bamako.

 

Yanga Yachukua Pointi 1 Mali

Yanga walitangulia kupachika bao kupitia mshambuliaji wao hatari Fiston Mayele katika dakika ya 60 kwenye kipindi cha pili cha mchezo kabla ya Emile Kone kuja kusawazisha bao hilo dakika ya 90.

Baada ya sare hiyo vijana wa Nabi wanashikilia nafasi ya pili kwenye msimamo wakiwa na pointi nne huku kinara wa kundi hilo akiwa ni Monastri ambaye ana alama zake saba hadi sasa.

Yanga Yachukua Pointi 1 Mali

Huku nafasi ya mwisho ikishikiliwa na Real Bamako ambaye ana pointi mbili pekee kwenye michezo mitatu aliyocheza. ODDS KUBWA unazipata Meridianbet pekee ingia na ucheze.

Baada ya sare hiyo Wananchi watarejea nyumbani tena kukiwasha dhidi ya huyo huyo Bamako mchezo wa marudiano ambao utapigwa Machi 7.

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.