Davide Calabria alipendekeza kuwa mchezaji mwenzake wa Milan Rafael Leao anahitaji kitu kimoja hasa kutoka kwa Kylian Mbappe ili kumsaidia kushinda Ballon d’Or siku moja. Winga huyo wa Ureno mwenye …
Makala nyingine
Ligi kuu ya Hispania, LALIGA inatarajiwa kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja baada ya mapumziko ya Kimataifa ambapo, Cadiz atakuwa mwenyeji wa Granada majira ya saa 5:00 usiku. Cadiz yupo …
Ripoti kutoka Ufaransa zinasema kuwa Juventus wanataka kuchuana na Milan kumnunua beki wa VfL Wolfsburg Maxence Lacroix. Beki huyo wa kati wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 23 amebakiwa na …
KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema kuwa, najua ana mchezo ngumu dhidi ya Mamelodi, lakini anajivunia uzoefu wake wa kucheza mechi ngumu na Muhimu. Gamondi amesema, anajua siyo kazi …
Bosi na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kwenye nyakati hizi za Ligi kwenda ukingoni watakuwa makini kufuatilia matukio yote ya Michezo. Kasongo amesema …
KOCHA wa Simba, raia wa Algeria Abdelhack Benchikha amesema kuwa kwenye moyo na akili yake Kuna kitu kimoja kinachoitwa Simba kwenda nusu fainali ikiwa kwenye mikono yake. Benchikha amefunguka kuwa, …
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameonesha kusikitishwa na majeraha ambayo ameyapata mchezaji wake raia wa kimataifa wa Ubelgiji Romeo Lavia. Pochettino wakati akiongea na wanahabari leo amesema “Ni …
Klabu ya Real Madrid unaweza ukasema kazi imebaki kwao tu kwa beki raia wa kimataifa wa Canada anayekipiga kwa mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies. Unaweza kusema …
Khvicha Kvaratskhelia kuna uwezekano atasalia Napoli baada ya msimu wa joto lakini lazima atie saini nyongeza ya kandarasi ambayo labda itajumuisha kifungu cha kutolewa. Kvaratskhelia ameweka historia akiwa na Georgia, …
Gleison Bremer sio beki pekee wa Juventus anayelengwa na vilabu vya EPL, Gazzetta linaripoti kuwa Liverpool wanatayarisha ofa kwa Dean Huijsen. Gazzetta dello Sport la leo linaripoti Borussia Dortmund, RB …
Manchester United wanaripotiwa kuwa tayari kulipa kiasi cha €60m cha kutolewa katika mkataba wa beki wa Juventus Gleison Bremer, huku Bianconeri akijutia dili hilo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil …
Beki wa klabu ya OGC Nice na timu ya taifa ya Ufaransa Jean Clair Todibo atatimka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa msimu huu na vilabu kadhaa vikitajwa kuwania saini …
Kiungo wa kati wa Milan Ismael Bennacer huenda akauzwa sokoni, huku Arsenal na vilabu vya Saudi Arabia vikiwa na nia ya kutaka. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Algeria yuko chini …
Huku Olivier Giroud akielekea LAFC, Milan wanahitaji mbadala wake na wanamtazama Goncalo Ramos, lakini watahitaji masharti maalum kutoka kwa PSG. Inasemekana kuwa Giroud amekubali kusaini mkataba wa miezi 18 na …
Ripoti zinaongezeka kuwa Milan na Mike Maignan wako mbali sana katika mazungumzo ya kusaini mkataba mpya, hivyo anaweza kuuzwa msimu huu wa joto. Kipa huyo anahusishwa na klabu hiyo hadi …
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama …
KIUNGO maarufu Kwa Sasa ndani ya Yanga Pacome Zouzoua anatarajiwa kutua Dar es salaam leo tayari Kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mamelody Sundowns, Machi 30. Pacome alikuwa barani Ulaya …
On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.