Mchezaji wa Manchester City amerejea dimbani katikati ya wiki katika mashindano ya UEFA na kufanikiwa kufunga goli dhidi ya Marseille.
Pamoja na hivyo kocha mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola amedhibitisha kwamba hataweza kumuanzisha Kun Aguero moja kwa moja katika dabi ya Manchester, ili kulinda afya yake.
“Najua tunamuhitaji sana katika idara yetu ya ushambuliaji kutokana na uwezo wake na uzoefu wake, ila sioni sababu ya kumuharakisha kurejea uwanjani” alisema Guardiola alipoulizwa swali na waandishi wa habari
“Aguero Amekuwa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha hivyo si vyema kumfanya awe katika hatari.” aliongeza.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Shakila mrope
Asant kwa uchambuzi
Adelta
Manchester city mambo yanazidi kunoga UEFA
Hopemwaikuka
Akikaa sawa atarud tu
Dorophina
Aguero kwa sasa bado hayupo sawa kocha amesema sahihi kabisa
Tahiya
Tunaheshimu maamuz ya mwalimu
Caroline
Safi sanaaa
Ernest
Pep kikosi chake kinampa wakati mgumu sana ni afadhali Aguero angerudi kutoka kwenye majeraha akiwa fit kabisa.
Farida ahmad
Manchester City inabidi wakaze
Sarah
Maamuzi ya mwalimu inabidi yaheshimiwe
Mwanahamisi
Aguero kwa sasa hayupo sawa
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri nimamuzi kutoka kutoka kwa mwalimu
Fatina mfingi
Nisaw mwalum ndo anaejua ubora wa mchezaji
Saupha mohamed
Good news
Rahma
Uchambuzi mzuli
Issa
Aguero ni moto
felister
uchambuzi mzuri
lombo
duuh
Sadick
Aguero ni mshambuliaji asiyechuja kwa uwezo wake wa kuona lango la timu pinzani
warda
Ilinikosa hii
Tatu
Uchambuzi mzuri
Magdalena
Iko poa
Latifa juma mohamed
Maamuz ya mwalimu yapo sahihi.
Chiku
Aguero mwanajeshi wa nchi kavu
samiah
Ipo vzr
aisha
Uchambuzi umeeleweka