Rayan Aït-Nouri (miaka 19 na siku 146) anakuwa mfungaji mdogo zaidi wa Wolves katika PL. Pedro Neto ndiye mchezaji mwingine pekee kufunga kama kijana katika PL kwa klabu hiyo.
🙌 Aït-Nouri pia ndiye Mfaransa wa 15 Tofauti kufunga bao kwenye Premier League, na akiwa na umri huo pia ni Mfaransa mwenye umri mdogo zaidi kufanya hivyo.
Wolves imepanda katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Premier League – Ndio nafasi yao ya juu zaidi katika msimu wa ligi kuu tangu Oktoba 1979 (ya tatu baada ya mechi 10), walipo maliza nafasi ya sita Baada ya Msimu kuisha na kushinda Kombe la Ligi (League Cup).
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.
Tatu
Nyota ya nouri imeaza kuonekana mapema
Adelta
Good news 👍👍
Khadija
Yupo vzr
Mwanahamisi
Gud
Dorophina
Nouri yupo vizuri sana
zeiyana
mda wake sasa nouri wakuonesha maajabu yake
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri anajua
Mwajumah
Yupo vizuri sana
Angelina
Goodupdate
Hopemwaikuka
Dogo katishaa
Povel
Congrats kwake
Carolyn
Hongera sana
Issa
Kinda alieweka rekod nzur sana
Fatina mfingi
Safi sanaa
aisha
Big up
Saupha mohamed
Safi sana
Fatuma kasomo
Safi
Sauda
Pongez kwake
Ernest
Mwanzo mzuri kwa Aït-Nouri
Ester jackson
Nyota njema huonekana ……………
Elika
Hongera sana kwake
Sabrina
Dogo katishaa
warda
Hongera yake