Tukiwa tunaelekea katika Fainali ya Ligi ya mabingwa Ulaya kati ya PSG dhidi ya Bayern Munich, ameibuka Kingsley Coman wa Bayern na kudai kuwa Alphonso Davies ana kasi/haraka zaidi kumshinda Kylian Mbappe.
Alphonse Davis,19 amekuwa na msimu mzuri akiwa pale Bayer na kufanikisha kuipeleka timu katika fainali ya Uefa.
Kylian Mbappe amekuwa na msimu mzuri akinyakua kiatu cha dhahabu na kuipeleka timu yake katika fainali za Uefa, pamoja na kupata majeraha katika mechi za mtoano.
Mbappe ni miongoni mwa wachezaji wenye kasi zaidi uwanjani lakini pia Alphonso Davies ameonesha mwendo wake tangu alipojiunga na Bayern Munich.
Kingsley Coman amecheza na wachezaji wote wawili na katika kuwalinganisha alidai kuwa
“Mbappe ana kasi sana, msininukuu vibaya, lakini Alphonso Davies ana kasi zaidi. Ana kasi kushinda wote”. Msilichukulie hili jambo kwa hisia kali wana PSG.
“Muda wangu nliokuwepo PSG ni jambo la kitambo. Nimekulia pale na nimecheza pale – lakini hiyo ni zamani sana. Akili yangu na Moyo wangu upo na Bayern kwa 100℅ . Alisema Coman.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
JULIANA
Asante kwataharifa
Neema
Asante kwa taarifa meridianbet
felister
ayo ni mawazo yako Coman
Issa
Davies ni moto sana kuliko mbape anakimbia kwa mahesabu sana hivyo psg wajiandae kumchunga huyu mtu
Zeiyana
Bayern Munch wana kikosi kikubwa na kizuri..!ila subir tuangalie matokea yake hapo kesho
Nasra
Inawezekanaje sasa
Sauda
Haiwezekani
Ernest
Asije akawa mchezaji wa msimu au wa mechi moja moja tuu , acha tuanze kufuatilia profile yake
Mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
Mwanahamisi
Asante kwa makala
Dorophina
Davies nae yupo vizuri anakimbizana na mbappe lkn bado ajafikia speed ya mbappe
Sylvester
Hayo ni maono yake ila wote wapo vizuri sana na umri wao mdogo kwa hyo watacheza muda mrefu na wana mambo mengi bado ya kuionyesha dunia juu ya vipaji vyao
magdalena
davies kweli naye anakuja kwa kasi kubwa sana ila kumfikia mbappe bado ajipange vya kutosha
Adelta
Davies Yuko vizuri na bado umri wake unadai@meridianbettz
Fatina mfingi
Mmmmh!!
marry
mawazo mazur
Lydia Emmanuel Magoti
Akuna Kama mbappe atabaki kuwa ni yeye
Saupha mohamed
Davies yupo vizur
Caroline
Lakini Mbappe amekua na msimu mzuri sana
Amiri Kayera
Sawa mbappe kuna neymar
Janeflora malisa
Inawezkn
aisha
Davies yuko vizuri sana
Khadija
Asante kwa makala#meridianbettz
Sadick
Beki na Mshambuliaji wapi na wapi! Tusubiri kuona matokeo kesho usiku#meridianbettz
Hope mwaikuka
It’s ur opinions so let it be
Povel
Ngoj tuone watakavyo kutana nan atakuwah usain bolt
Rehema
Good news 👍
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
Devotha
Ngoja tuone siku ya mechi nani anakasi kumzidi mwenzake
Gabriel
Hapo wote dam inachemka vijana nahisi mech itakuwa ya ushindan mkubwa sana maana Alphonso Davies ni mchezaji mwenye kasi na mtengenezaj pia mashabuliaji mzur wa pasi huku mbappe nae pia ni mchezaji mkal sana 👍
Rose kapinga
Mbappe sio mtu wa mchezo mhezo!!!
Shafii
Mi nadhani mechi iko mezani tutashuhudia haya yote kiwanjani nani yuko juu.
Salma ngende
Yupo vizuri
Omary lukumbi
Yupo vzr
David Pere
Asije akawa mchezaji wa msimu au wa mechi moja moja tuu , acha tuanze kufuatilia profile yake
Ester jackson
Hayo ni mawazo take lakini sisi mashabiki tunaona wako sawa in ufundi tu wa kuzidiana maarifa uwanjani ambayo tunasubiri kuyaona.
rama
Maoni:mhhhh ngoja tuone
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe mashabiki
Samiah
Safi
Furahav
Ngoja tuona nani zaidi.
Sabrina
Mbappe yuko vizuri namuamini sana
Latifa juma mohamed
Mbappe ni miongoni mwa wachezaji wenye kasi zaidi uwanjani lakini pia Alphonso Davies ameonesha mwendo wake tangu alipojiunga na Bayern Munich.
warda
Nimecheki mechi yao kweli Coman anatisha#Meridianbettz