Mchezaji wa kimataifa wa Wales, Ethan Ampadu anakaribia kurejea kwenye utimamu wa mwili baada ya kukosa mechi za ufunguzi za Bundesliga akiwa na RB Leipzig.
Ampadu, 19, yupo kwa mkopo Ujerumani akitokea Premier League katika klabu ya Chelsea.
Hajacheza mechi yoyote tangu Ligi irejee bila mashabiki kutokana na janga la Corona kwasababu ya matatizo ya mgongo.
Lakini Leipzig wanasema kwasasa ameanza mazoezi mepesi na ametengenezewa programu yake binafsi.
Leipzig wapo nafasi ya tatu kwenye msimamo na Jumamosi watacheza dhidi ya Paderborn.
Ampadu amepambana kpata muda wakucheza tangu akiwa Stamford Bridge kiangazi kilichopita, lakini amewavutia Leipzig kwa kiwango alichokionyesha kwenye ushindi wa Champions League dhidi ya Tottenham kabla Corona haijaharibu mipango.
Mechi yake ya mwisho ilikuwa Februari waliposhinda 1-0 ndipo akapate majeraha.
Tahiya
Safi Ethan pambana bdo umri unaruhusu kufanya makubwa
Theckla
Ampadu namkubali Sana anajua mpira
Rehema Dickson
Safi sana yuko vizuri sana jamaa
Salma
Yupo vizuri sana
Ester jackson
Ampadu amepambana kpata muda wakucheza tangu akiwa Stamford Bridge kiangazi kilichopita, lakini amewavutia Leipzig kwa kiwango alichokionyesha kwenye ushindi wa Champions League#meridianbettz
Mwanaidi
Ni vizuri sana watu walimmiss sana
winfrida
Ampadu kiwango alichokionyesha kwenye ushindi wa Champions League dhidi ya Tottenham anajitaidi sana
felister
safi
Warda
Ampadu mgongo huwa unamsumbua sana #Meridianbettz
isha
Ampadu namkubali sana
Adelta
Ambadu namkubali Sana
Elika
Ampadu yuko vizuri..na tatizo lake la mgongo litakwisha na atakuwa sawa kabisa
Antony Luseno
Karibu sana dimbani ili upashe mwili
Devotha
Ampadu hongera na karibu tena mchezoni
Neema juma
Yuko vzr sana kwa sasa akazane zaidi na mazoezii
Khadija
Ampadu ongera yake #meridianbettz
Evaluziga
Ni vizuri sana watu wali mmis sana
Mwajuma
Ni habari nzuri kwa timu yake maana naendelea kuisaidia timu
Ester mmakasa
Karibu kijana wetu tulikusubiri mno.
Asha mvugalo
Ampadu ni mchezaj mzuri
Sadick
Wakati fulani Chelsea ilikuwa na wachezaji zaidi ya 30 wanacheza kwa mkopo Vilabu mbalimbali duniani, sikuwa najua Ampadu ni mmoja wao. Asante kwa taarifa#meridianbettz
mwakalosi
inabidi apate muda wa kupumzika zaidi
Hope mwaikuka
Go Ethan
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wa RB reipzig
Christopher
Atakua future Hugo baadae pale Stamford bridge, wamuache akuekue kidogo
Genia Sikaluzwe
Ni habari jema kwa mashabiki
Agness
Yuko vizuri namkubali sana
Rehema
Namkubali sn anajiewa kishezi
Ernest
Kila la heri Ampadu
David Pere
Ni taarifa nzuri kwa mashabiki wake na timu nzima
Povel
Ampadu ni mchezaj mzur sana
Emmy cleopa
Ni habar njema
Gabriel
Ampadu dogo anajua sana
JULIANA
Kila la heri kwake,maana kapumzika mda sasa
mathayo sonje
kashapona, kilichobaki ni mazoezi ya nguvu ili aimarike akishaanza kuingia kiwanjani
lombo
akaze sas
Amani
Mungu amsaidie apone kabisa arudi uwanjani
Zeiyana
Ampadu mri wakutuonesha kipaji chako unapata majeraha..!pole sana utapona utarudi kwenye ali yako ya kawaida na ndoto zako zitatimia
Caroline
Ampadu tulikumis
Magdalena
Arudia tu aendeleze soka
Kenani
Hatar Sana kitawaka vibaya mno
Lydia Emmanuel Magoti
Kalibu Sana dimbani upashe viungo mwili uchangamke kazi ifate Ampadu
Mariam mtandama
Duuuh
Dorophina
Inabidi apate mda wa kupumzika vizuri asije akautonesha mgongo
Shafii
Gud newz
Ally mohamedi ally
Yupo vizur
Ally mohamedi ally
Ipo gud hyo
Ally mohamedi ally
Habari nzur