Rais wa Juventus Andrea Agnelli hakuwepo kwenye ushindi wa Supercoppa, lakini anajivunia kazi na jitihada za timu yake katika kuusaka kushindi huo. Katika kusherekea ushindi huo amesema “Tumekuwa washindi kwa miaka 10 mfululizo.”
Bianconeri (Juventus) wamewachapa Napoli 2-0 kwenye uwanja usio wa upande wowote wa dimbani Mapei huko Reggio Emilia, na mchango wa Cristiano Ronaldo na Alvaro Morata ndiyo uliowatoa kidedea Juve.
Hili ni taji la kwanza kuwekwa kibindoni na Juve kwa msimu wa 2020-21. Wanatarajia jitihada zaidi zinaweza kuwaweka karibu na mataji mengine.
Agnelli ambaye aliikosa mechi hii, alitumia ukurasa wake wa twitter kuelezea hisia zake baada ya ushindi Jumatano, akisisitiza kuwa wamekuwa vinara kwa miaka 10 mfululizo.
“Tumeshinda kombe kwa miaka 10 mfululizo, Sio mbaya, lakini ni kitu bora bado iknakuja njiani!”
Raisi huyu alishindwa kuhudhuria kwenye mechi kwa sababu ya shu8ghuli zingine za kikazi.
Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.
Shakila mrope
Pole yake
Rahmal
Pole
Venerose
Pole sana
Adelta
Kwa Sasa juventus wako vizuri
Sadick
Juventus imekuwa na matokeo mazuri inapocheza na vigogo
Caroline
Good
felister
safi
Sabrina
Duuh
Sarah
Good
Magdalena
Iyo ndo changamoto ya mpira
Ernest Kimeru
Kazi kazi
Mwanahamisi
Good
Angelina
Goodnews
Sania
Bahati haikuwa yao
Lydia Emmanuel Magoti
Pole yake
Hopemwaikuka
Ndo bas tena
Dorophina
Pongezi kwao juventus
Issa
Juve moto
warda
Hata mie nilifurahi sana ushindi wa juve