Andrea Pirlo - Siwahitaji Higuain na Khedira.


Bosi mpya wa Juventus, Andrea Pirlo ameanza kazi kwa kupitisha panga katika kikosi chake cha mabingwa wa Serie A baada ya kusitisha mikataba ya Gonzalo Higuain na Sami Khedira.

Pirlo alipata kibarua hicho mara baada ya Mauricio Sarri kutupiwa virago kutokana na kupata matokeo mabaya ya Ligi ya mabingwa Ulaya kwa kutolewa na Olympic Lyon hivyo kuzima ndoto za kutwaa kombe hilo tangu mwaka 1996.

Andrea Pirlo - Siwahitaji Higuain na Khedira.

Higuain (32) na Khedira (33) wamesitishiwa mikataba yao ikiwa ni mwaka mmoja kabla ya kufikia tamati.

Wachezaji hao watalipwa pesa zao za kuvunja mikataba yao ili waweze kuondoka klabuni hapo.

Mawakala wa wachezaji hao wamethibitisha maongezi hayo na Juventus kuhusu kusitisha mikataba ya wateja wao na walikuwa wanashughulikia jambo hilo.

 

Andrea Pirlo - Siwahitaji Higuain na Khedira.

Ikumbukwe Higuan amejiunga na Juventus kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuondoka Chelsea, na Khedira alijiunga na timu hiyo akitokea klabu ya Bayern Munich.

Higuain amefunga mabao 8 tu katika michezo 32 ya Serie A msimu huu huku akiwa anatokea kwa wachezaji wa akiba.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

39 Komentara

    Higuain na khedira ni kama umri umesonga kwao hivyo pirlo yuko sawa kuwatema

    Jibu

    Andrea Pirlo hataki masihara kabisa kwenye kujenga kikosi chake

    Jibu

    Ameanza makeke, bila shaka anaona hawawezi kuendana na mfumo wake na pengine kiwango kimeshuka#

    Jibu

    Andrea pirlo apendag masihara#meridianbettz

    Jibu

    Andrea Pirlo amekuja na Moto ataki masiala kwenye utendaji wake wakaz anataka kukisuka kikosi kiwe kwenye engo yake

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Khedira bado angemsaidia hatakiwi kukurupuka kuwafukuza wachezaji wakongwe

    Jibu

    pirlo anapambana ili aone kama ataweza kusahihisha makosa ili yasijirudie tena katika kikosi chake

    Jibu

    Hawahitaji kwa sababu viwango vyao vimeshuka?

    Jibu

    Amekuja kwa kasi pirlo hataki masihara kabisa

    Jibu

    Andrea huo ni uamuzi wake ameshaamua ivyo

    Jibu

    Pirlo yupo sahihi coach yoyote anapopewa timu lazima apange apangue

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Hapa naona pirlo anajaribu kuwapunguza wakongwe ambao alishawahi labda kucheza nao kipindi cha career yake.

    Jibu

    asante kwa taarif

    Jibu

    Asanten kwa makala

    Jibu

    Naona amekuja kwa Kasi mpya

    Jibu

    Habar njm

    Jibu

    Kila Koch na mapendekez yake

    Jibu

    Andrea kachafukwa sana

    Jibu

    Huyu kocha mbona yuko na mkwala hvyo

    Jibu

    Khedira vs higuain Kama vle age imewatupa mkono mkandarsi mpya anatak kutengeneza kikos chake vle

    Jibu

    Andrea Pirlo ni kocha mzur sana 👍 anatambua na mwenye uwenzo mkubwa na pia alikuwa mchezaji mzur na mzoefu hivyo anauelewa na mpango wake

    Jibu

    Kocha ameanza kwa kasi ya 4g

    Jibu

    Naona anataka kukimbiza ambao hawataendana na kasi yake.

    Jibu

    Kocha kama kocha anaongea

    Jibu

    Ni kocha mzuri

    Jibu

    Ikumbukwe Higuan amejiunga na Juventus kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuondoka Chelsea, na Khedira alijiunga na timu hiyo akitokea klabu ya Bayern Munich.

    Jibu

    Mbn Mambo yameanza mapema

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Maamuzi yake binafsi mwenyewe

    Jibu

    Nihabari njemaa

    Jibu

    Uko sahii mana hawana viwango tena.

    Jibu

    Andrea Pirlo ameanza Kazi hataki masihara

    Jibu

    Andrea pirlo , c mtu wa mchezo amewatema kina khedira Yuko sahihi ameon hawana viwango.

    Jibu

    Acha achague watu anawataka#Meridianbettz

    Jibu

    Duuu hatari

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.