Raisi wa Liga MX, Mikel Arriola ameeleza matamanio yake ya kuwapeleka Lionel Messi na Cristiano Ronaldo katika ligi yake au katika ligi ya Marekani, Major League Soccer (MLS).
Mataifa hayo mawili ya juu ya Amerika Kaskazini yamekuwa yakijadili juu ya kuungana, na Arriola ana matumaini kuwa inaweza kufanyika baada ya Kombe la Dunia la 2026 litakalo unganisha na Marekani, Mexico na Canada.
Arriola pia anaamini ligi hizo mbili zinaendelea kukua, na wanaweza kusajili wachezaji wakubwa mmoja au wawili katika mpira kwa zaidi muongo uliopita.
Akizungumza na ESPN, Arriola alisema: “Tungekuwa moja ya ligi bora ulimwenguni [ikiwa tutaungana na MLS].
“Hatua inayofuata itakuwa kuwa na Messi au Cristiano Ronaldo hapa (Mexico) au Marekani, labda katika hatua ya mwisho ya taaluma zao.” aliongeza.
Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Dorophina
Hivi vichwa viwili vikikutana itakuwa balaa sana
Hopemwaikuka
Watu makin
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
Sarah
Wapo vizuri
Caroline
Safi sanaaa
Adelta
Good
warda
Itakuwa poa sana