Arsenal: Mabadilishano ya Granit Xhaka na Christian Eriksen, Inakaaje Hii?

Klabu ya Arsenal imekuwa ikihusishwa na aliyekuwa nyota wa zamani wa Tottenham, Christian Ericksen. Nyota huyu amekuwa na wakati mgumu kupata namba ya kudumu kwenye kikosi cha Inter Milan tangu alipoungana na Spurs Januari.

Eriksen ameanza katika gemu 11 za Serie A akiwa chini ya Antonio Conte, ambao wanaonekana kuwa tayari kumuachia aondoke kwenye dirisha lijalo la Uhamisho.

Kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari za michezo za Italia Corriere dello Sport, Conte anafikiria dili la mabadilishano kati ya nyota wa Arsenal Granit Xhaka na Ericksen.

Nyota huyu wa Arsenal amekuwa akianza mara kwa mara kwenye kikosi cha Mikel Arteta, lakini kwa anakumbana na ushindani mkubwa sana kutoka kwa Thomas Partey, aliyesajiliwa msimu wa joto kwa Euro 45, pamoja na Dani Ceballos na Mohamed Elneny.

Mapema mwezi huu Ericksen aliweka wazi kuwa hafurahii mda wake wa kucheza na kinachotokea siyo ndoto aliyokuwa nayo alipokuwa akifikiria kutua Milan.

Arsenal: Mabadilishano ya Granit Xhaka na Christian Eriksen, Inakaaje Hii?
Christian Eriksen

“Hiki sio ndoto niliyokuwa naiota. Nadhani wachezaji wote wa soka wanapenda kucheza mara nyingi iwezekanavyo. Haijawahi kufurahisha kukaa benchi” – Ericksen

Kutokana na hali inavyoendelea, lolote linaweza kutokea na huenda staa huyu akafanikiwa kutua Arsenal.

 

BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

24 Komentara

    Duh sell. Exchange Man to Man (ERIckson + Xhaka ) duh hapo ni kukubaliana Kati ya gunner na milan Ila for me naona Kama deal hlo litafikiah muafaka gunner watakuwah wamepata mtu sahihi katika team kwn ERIckson ni mpambani anayewez kuku offer nafasi mbali mbali kwny timu na timu ya gunner inahitaj mtu Kama erikson fundi wa mpira kila la kheri Kama deal hlo litakuwa Done

    Jibu

    Bado shaka amekuwa hana mchango mkubwa sana pale timu inapozidiwa, ni mchezaji wa kawaida. Thomas Partey amesajiriwa hivi karibuni lakini amekuwa na mchango mkubwa sana

    Jibu

    hitakua vizuri kama arsenal watainasa sain yake

    Jibu

    Yuko vizuri kijana anaonekana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Sio mbaya wakifikia makubaliano

    Jibu

    Whatever

    Jibu

    kijana anaonekana yupo vizuri

    Jibu

    hapo katika makubaliano wanabidi na kuwashirikisha wachezaji wenyewe

    Jibu

    Kikumbwa makubali tu

    Jibu

    Wafanye tu makubaliano yao mazuri mana wachezaji wote wanaumuhimu wao

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Wakubaliane wamchukue dogo anafaa sana

    Jibu

    Shaka ni kweli bado hana msaada mkubwa

    Jibu

    Yupo vizuri kijana wafanye tuu makubaliano wachezaji wote wapokwenye levo

    Jibu

    Granit ongeza juhudi

    Jibu

    Habali nzuli

    Jibu

    Kijana yupo vizur

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Anaonekana yupo vizuri

    Jibu

    ni kukubaliana Kati ya gunner na milan Ila for me naona Kama deal hlo litafikiah muafaka gunner watakuwah wamepata mtu sahihi katika team kwn ERIckson ni mpambani anayewez kuku offer nafasi mbali mbali kwny timu na timu ya gunner inahitaj mtu Kama erikson fundi wa mpira kila la kheri Kama deal hlo litakuwa Done

    Jibu

    Kwa ericksen watalamba galasa

    Jibu

    Nafurahi kuona falsafa ya Arteta amegundua kuwa Christian Eriksen anaweza kuwa msaada mkubwa ndani ya Arsenal na great Captain

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe