Arsenal wanakabiliana na Wolves kwenye kipute kingine cha Ligi Kuu England Jumamosi hii, wakiangalia kuendeleza fomu yao ya kushinda kwa wiki za hivi karibuni. Mbwa mwitu Wolves wamekuwa pia na fomu bora kabisa tangu ligi irudi. Wameshinda mechi zote tatu, wakifunga mabao manne na pasipo kuruhusu goli hata moja.
Kitu kimoja kibaya ni kwamba Wolves walikuwa wanakabiliana na timu dhaifu, timu zinashika nafasi ya; 16, 19 na 18. Bado, Arsenal hawawezi kujipa matumaini juu ya hilo wakati wamepoteza mbele ya timu hiko kwenye hatihati ya kushuka Brighton wiki chache zilizopita na wakapoteza.
Mechi hii yoyote anaweza kushinda kama kawaida, japo nafasi kubwa inambeba Wolves kwani hawajapoteza tangu ligi irejee. Tangu wapoteze dhidi ya Brighton, Arsenal wapo kwenye fomu nzuri. Walishinda ugenini dhidi ya Southampton, waliiondosha Sheffield United Kombe la FA kwenye hatua ya robo fainali na kufurahia ushindi mnono dhidi ya Norwich City nyumbani.
Kwa hivyo leo kuna timu mbili zilizopo katika fomu nzuri na zikiwa na pengo la pointi sita kati yao kwenye msimamo (Wolves katika nafasi ya sita, Arsenal ya nane).
Theckla
Wolves anashinda hii mechi
Njiku
Mechi ngumu sana
Omary lukumbi
Leo ni game ngumu kwa arsenal kushinda mbele ya maalim seif
Evaluziga
Mechi ngumu sana iyo
David Pere
Wamebahatsha leo lakini bado wapo mbali Sana kuingia kwenye nne bora
Theonestina
Leo arsenal atashinda tu
Hamidu
Patachimbika#meridianbettz
Ernest
Sasa nimeanza kuona Arsenal ikifanya maajabu ambayo watu hatukutarajia, Wolves kupigwa 2 kwa nunge ngumu sana, Pongezi kwa Arsenal.
Antony Luseno
Bonge la game,sidhani kama Arteta atafurukuta na leo
Angelina
Wolves lazima ampige arsenal
Johnmary joel
Mpambano ulikuwa babu kubwa #meridianbett
Fatina mfingi
Game ilikuwa kali
Dorophina
Arsenal lazima atashinda tu
Aziza mushi
Arsenal lazma ashinde na mbili.
Genia Sikaluzwe
Wolves lazima atashinda tu
Khadija
Mechi ngumu sana#meridianbettz
Ester jackson
Kwa mchezo wa jana ulikuwa mkubwa sana kwa arsenal kwa kuibuka na magoli 2:0 ulikuwa hatari
isha
Arsenal mkali wao
Mariam mtandama
Arsenal lazima atashinda
Zeiyana
Arsenal wamesikiliza vilio vya mashabiki wao wamejipanga hipasavyo hawataki kuwapoteza mashabiki wao kwa mchezo ulio chezwa jana na kuibuka ushindi wa 2:0 imewafanya kuwaondoa machozi mashabiki wao na kuwaamisha bado wanagombani nafasi yao
Caroline
Hii mechi yeyote anaweza kushinda
Rehema
Arsenal ushindi ni lazima
Mwanahamisi
Mechi ngumu sana
felister
mm nilijua tu arsenal atashinda hii mechi
Lydia Emmanuel Magoti
Lilikuwa kabumbu latari Sana Arsenal walijitoa kimasomaso mpaka kupata ushindi
Shafii
Kwa hawa wolves sidhani Kama arsenal Ana nafasi ya kuchomoka
Fatuma kasomo
Mechi ngumu
Magdalena
Lilikuwa bonge la gemu hatari
Sabrina
Maoni:Duuuh hii mechi ni ngumu sana
Sadick
Hatimaye The Gunners wamefanya yao kwa kuwatungua mbwa mwitu#meridianbettz
Issa
Nice
Povel
Gud news
Devotha
Habari nzuri
Amiri Kayera
Kitawak san
Furahav
Ngoja tuone nani atashinda.
Samiah
Nani atashinda ngoja tuone
mwakalosi
dah eti aseno kupata point 3
warda
Daaaa Mechi Niliikosa Hiii #Meridianbettz
Salma
Hii mech ilikuwa ngumu
Hope mwaikuka
Kaz ipo
Mwajuma
Hatimaye arsenal nao wamekaza
Gabriel
Hii mechi nilijua tu arsenal lzma washinde
lombo
well