Arsenal: Nyota wa Arteta Mashakani na 25%.

Bado hali si shwari kwa washika mitutu wa London – Arsenal ‘The Gunners’. EPL wanavurunda na wametolewa kwenye Carabao Cup.

Mikel Arteta kulikoni???

Kocha wa Arsenal – Mikel Arteta.
Wakati ambapo Arsenal wameambulia pointi 2 pekee ndani ya michezo 7 ya mwisho, timu hii ipo kwenye hatihati ya kuingia kwenye nafasi 3 za kushuka daraja kwenye EPL.

Arsenal ya msimu huu sio tuliyoizoea ikiwa inapambana kwenye nafasi 6 za juu kwenye msimamo wa EPL. Ni dhahiri kwa kiasi kikubwa, mashabiki wa timu hii hawaoni tumaini jipya kwa sasa.

Japo hatuombei kuiona timu kama hii ikishuka daraja, tukumbushane kuwa baadhi ya wachezaji wa kikosi cha Arteta wapo mashakani kuuonja uchungu wa kupunguziwa mishahara yao kwa 25% endapo timu hiyo itashuka daraja.

Ni suala ambalo halifikiriki kwa sasa kama miamba hii ya soka la Uingereza itashuka daraja au la, lakini kwa mwenendo huu – pengine ulimwengu wa soka unaweza kushuhudia maajabu hayo msimu huu.

Mesut Ozil (kushoto) na Pierre-Emerick Aubameyang (kulia).

Aubameyang na Ozil ni miongoni mwa wachezaji wanaopokea kitita kirefu kwenye kikosi hicho na Uingereza kwa ujumla, endapo itatokea timu hiyo imeshuka daraja na wakatekeleza makubaliano ya kupunguza 25% kwenye mishahara ya wachezaji.

Arsenal wataokoa takribani pauni milioni 37.5 kutoka kwenye kiasi cha pauni milion 150  wanacholipa mishahara ya wachezaji kila mwaka.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Hii ni taarifa mbaya kwa kikosi Cha Arsenal

    Jibu

    Pole Sana kwa matokeo mabovu

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Matokeo sio poa pole yao

    Jibu

    Arteta anazingua

    Jibu

    Dar pole sana

    Jibu

    Arteta aimarishe kikos

    Jibu

    Too bad

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Arteta ajipange

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Acha waonje joto ya jiwe

    Jibu

    Mhh pole yake

    Jibu

    Arsenal imepoteza mvuto ghafla, Mwanzoni walionekana kama timu itakayoleta ushindani mkunwa ndani ya EPL na barani Ulaya lakani hali ilivyosasa inasikitisha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.