Kwa mujibu wa Sky Sports, Arsenal imewasiliana na wawakilishi wa Thomas Partey juu ya kutaka kulipa kifungu cha uhamisho wa kiungo huyo wa kimataifa wa Ghana.
Kifungu cha uhamisho wa Partey kinasimama kwa dau la Euro Milioni 50 na endapo Arsenal italipa kifungu hicho basi hakutakuwa na haja ya kufanya mawasiliano na Atletico Madrid kukamilisha uhamisho huo.
Arsenal inaripotiwa kufanya mipango yote kwa haraka zaidi ili kushinikiza uhamisho huo hii leo, huku vipimo vya Afya vikitarajiwa kufanyika nchini Uhispania.
Lakini Taarifa nyingine zinasema Chelsea wameingia kwenye dili la kutaka kumchukua kiungo huyo baada ya kugonga mwamba kwa kiungo wa Westham Declan Rice.
Gunners na Blues zitajaribu kukamilisha dili hilo kabla ya saa 00:01 usiku ambapo dirisha litafungwa.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
jullie
hongera zao
Issa
Gunners rada kwa huyu mtu ni safi ila arteta anajua kazi ya partey
Sadick
Bravo the gunners usajiri makini sana#meridianbettz
Amiri Kayera
Arsenal bado wanaziba mapengo kweny kikos chao
Sabrina
Arsenal wanajua kulenga wanataka kutengeneza kikosi cha kibabe
aisha
Arsenal kikosi chao bado hakipo sawa
Hopemwaikuka
Kila LA heri kwao
Khadija
kila la kheri
Povel
Closed Window DEAl swap😂😂😂😂
Saupha mohamed
Kila la kheri
Amani
Safi sajili Bora kabisa
Sauda
Kila la kheri Arsenal
David Pere
Wametisha sanaa
Shani
Safii
Dorophina
Arsenal anafanya usajili mzuri sana dogo atawasaidia sana
Lydia Emmanuel Magoti
Safii kila la kheri kwake
Caroline
Daaaah kazi wanayo
Tatu
Usajili mzuri
Magdalena
Arsenal walitisha sana
Angelina
Kila kheri
Zeiyana
Habari njema kwa mashabiki wa arsenal
Elika
Hongera sana
Neema
Habari njema sana
Janeflora malisa
Nice
Nasra
Safii
Fatuma kasomo
Gud
felister
usajili mzuri
Latifa juma mohamed
hongera zao
Samiah
Gud
Mwajumah
Safi
Fatina mfigi
Gud
Gabriel
Arsenal wanajua kulenga