Klabu ya Atletico Madrid imeripotiwa kuwa kwa siku za karibuni, haina mpango wa kufanya biashara tena na Arsenal kutokana na kilichotokea kwenye usajili wa Thomas Partey.
Partey amesajiliwa na Arsenal siku ya mwisho kabla ya usajili haujafungwa Jumatatu ya wiki hii ambapo uhamisho wake umegharimu pauni 45m.

Atletico wanadai kwamba, kitendo cha Arsenal kuchelewa kufanya mazungumzo na klabu hiyo huku ikizungumza zaidi na mchezaji kwa kumshawishi na mwisho wa siku kumsajili, ndiyo kimewaudhi kwa sababu imeshindwa kupata muda wa kumtafuta mbadala wake.
Ripoti kutoka Hispania zinadai kuwa, ombi la Arsenal kumuhitaji kiungo huyo lilifika dakika 32 kabla ya usajili kufungwa.
Jambo hilo liliwapa wakati mgumu mabosi wa Atletico kuweza kumpata mbadala wake kwa muda huo ambao ulikuwa umekwenda.
Partey akiwa Arsenal, atakuwa analipwa mshahara wa pauni 250,000 kwa wiki, huku mkataba wake ukiwa ni wa miaka minne.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!


Zeiyana
Kumbe mambo hayo yapo hadi nchi za wenzetu tumeona uku kwetu simba kwa Morison
Shani
Altetico wanazingua wasinge kubali na kuchukua pesa
Amiri Kayera
Dah wamechez rafu mbaya arsenal
Tatu
Arsenal waliuwa wanasuasua kama wamchukue au wamuache
Rehema
Good
Hidaya
Arsenal walikuwa hawana uhakika na wanachokifanya
Lydia Emmanuel Magoti
Duu rafu sio poa
julieth
good news
magdalena
arteta naona anataka kunoa kikosi chake vyema sana
lombo
duuh
Sadick
Moja ya usajiri bora kufanywa na Arsenal siku za karibuni, kila la kheri Partey
Issa
Atletico wamekosa point ingebid wasichukue fedha
Povel
PARTEY is gunner
Asia Abdy
Itapendeza sana kumsain mwamba
Sabrina
Atletico ndio wapambane
Salma ngende
Duh sio poa
Saupha mohamed
Duuu siyo poa
Sauda
Rafu mbaya sana
Neema
Habari imeeleweka
Fatina mfigi
Duuh sio powah
Mwajumah
Duuh rafu mbaya sana wamecheza
Adelta
Sio poa kabisa
Gabriel
Arsenal hawajawai kukosea kwenye usajil wao nawakubali sana 👍
Ernest
Hapa kweli Arsenal wamecheza Rafu kazi kubwa ipo kwa Atletico Madrid kujipanga
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Venerose
Mmmh
Caroline
Arsenal wajanjaaa
Angelina
Safi
Elika
Safi
aisha
Arsenal hapo nimewakubali sana
Rose kapinga
Hatarii iyoo
felister
duh
Genia Sikaluzwe
Dah wamechez rafu mbaya arsenal
Khadija
Safi