Arsenal Yapigwa na Newcastle

Makala iliyopita
Hansi Flick: Araujo Kurejea hivi KaribuniMakala ijayo
Azam Fc Yaipasua Yanga Chamazi
Mchezo dhidi ya Newcastle washika mitutu walionekana kucheza kwa tahadhari kipindi cha kwanza na kuwaacha wenyeji kutawala mchezo jambo ambalo lilipelekea madhara langoni mwao na kuruhusu goli kupitia kwa mshammbuliaji Alexander Isak mapema dakika ya 12 na kufanya mchezo huo kwenda mapumziko vijana wa Mikel Arteta wakiwa nyuma.