Mikel Arteta amesema anatamani kumbakiza David Luiz, Arsenal na anaamini Mbrazilli huyo amekuwa mfano wakuigwa tangu alipotua Arsenal kuchukua mikoba ya Unai Emery kama kocha.
Mwezi uliopita, ilithibitishwa kuwa Luiz alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Arsenal baada ya kusajiliwa kutoka Chelsea majira ya Kiangazi yaliyopita.
Arsenal tayari walianza mazungumzo ya kuongeza mkataba na Mbrazili huyo kwa miezi 12 minginen japo makubaliano hayajafikiwa.
Japo, Luiz ameonyesha nia ya kurejea Bnefica na kukiri kuwa tayari amezungumza na raisi wa klabu hiyo ya Ureno.
Lakini Arteta yupo tayari kumbakiza nyota huyo mwenye miaka 33 kwani amekuwa na ushawishi mzuri kwa wachezaji wenzake. Mikel Arteta amemsifia David Luiz kwa kuwa ushawishi kwa wachezaji wa Arsenal.
Nina furaha na Luzi, nahitaji kusalia nae,’ alisema Arteta. ‘Amekuwa mfano wa kuigwa tangu nilipojiunga na Arsenal. ‘Napenda namna anavyocheza uwanjani, napenda ushawishi wake kwa wachezaji wenzake, napenda abaki nasi.’
Shafii
David Ruiz ni beki makini Sana ila kwa Sasa kiwango chake Kiko chini ila kwa arsenal waangalie uhitaji wa beki Kama aina yake Kama Ina wafaa itakua poa
Povel
Luiz mchezaj mzur anastahil kubaki gunner thnks meridian bet kwa update za michezo
Neema hassan
Mchezaji mzuri awapo uwanjan
Frank Patrick
Ni tamaa kwa coach kwaajili ya kuwapa motisha na kushare experience kwa vijana wanaochipukia wenye kucheza nafasi yake
Ester jackson
Jamni muacheni luiz aende timu nyingine kiwango chake kinazidi kushuka sikama alivyotoka Chelsea sasa aende timu kubwa zaidi
Hidaya
Abaki tu mambo yanaweza kubadilika kwa arsenal
isha
Ni bora akabaki
Mwajuma
Bora abaki tu sasa hivi timu nyingi azina pesa kwaiyo nimajanga tu
Johnmary joel
Ninamkubali sana#meridianbett
Samiah
Nibora abaki kwani timu nyingi zimeyumba kipindi hiki cha corona
mwakalosi
alichofanya leo kwa city 😂😂😂😂😂
Mwanaidi
Ni vyema akabaki tuu
lombo
gud newz asante
Rehema
Ni vizuri akibaki
Magdalena
David Luiz ni kinara wa kipekee arsenal
Mwanahamisi
Ni bora akabaki tuu
Elika
Ni bora akabakia hapo arsenal
Devotha
Luiz ni mchezaji mzuri
Furahav
Anazingua sana luis
Hamidu
Luis beki mzoefu anastahili kubaki arsenal#meridianbettz
Mariam mtandama
Bora abaki tu
Zeiyana
Arteta Yuko sahihi Ruiz amalizie career yake arsenal hapo hapo
Caroline
Wamuongezee mkataba.Luiz ana mchango mkubwa kwenye timu ya Arsenal
Sabrina
Maoni:Arteta ameuona mchango wa David luiz bado anamuhitaji katka team yake
Genia Sikaluzwe
Ni vema akabaki tu
Dorophina
Talent player
Theckla
Abaki tu
tumaini
Maoni:Nivema abaki tu
Latifa juma mohamed
Abadilishe upepo tu maan itamsaidia kukuza kiwango Zaid.
Evaluziga
Ni mchezaji mzuri akiwa uwanjani
David Pere
Kweli Arsenal wamechoka Sana beki Kama yule bado wanatamani wabaki nae hatari tupu
Lydia Emmanuel Magoti
Mchezaji mzuri habaki tuu
Ernest
Luiz anachomesha sana timu
Hope mwaikuka
Ni mchezaj mzur
Salma
Anazingua huyo
Emmy cleopa
Ni Bora abaki tu
felister
aende zake tu
Theonestina
Daaah natamani abak tu
Christa
Wamuache aende. Kuna maisha nje ya Arsenal
Tatu
Ni vyema abaki tu