Mikel Arteta Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa uwepo wa mashabiki kwenye mchezo wao wa Europa League dhidi ya Rapid Wien ndani ya Uwanja wa Emirates umewapa nguvu kuibuka na ushindi huku mashabiki waliojitokeza wakitaka jina la Mesut Ozil kurejeshwa ndani ya timu hiyo.
Awali mashabiki walikuwa wamezuiwa kuingia ndani ya Uwanja kutokana na kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona jana waliruhusiwa mashabiki 2,000 ambao waliingia na mabango yaliyoandikwa arejeshwe Ozil mwenye miaka 32 baada ya jina lake kutolewa kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza ndani ya Ligi Kuu England pamoja na Eropa League.
Mabao ya Arsenal wakati ikiibuka na ushindi wa mabao 4-1 yalifungwa na Alexandre Lacazette dk 10, Pablo Mari dk 18,Eddie Niketiah dk 44 na Emile Smith Rowe dk 66 lile la Rapid Wien lilipachikwa na Koya Kitagawa dk 47.
Ushindi huo unaifanya Arsenal kuweka rekodi yake ndani ya Europa League ikiwa imeshinda mechi zote tano na kujikusanyia pointi 15 nafasi ya kwanza kibindoni huku Rapid Wien ikiwa nafasi ya 3 na pointi 6 Kwenye kundi B.
Arteta amesema:”Mashabiki walitupa nguvu na kuwafanya wachezaji wapambane kwa juhudi kupata matokeo chanya hili ni jambo la faraja kwetu na mashabiki,”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Mariam mtandama
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kabisa
Fatina mfingi
Ni kweli kabisa
Dorophina
Ni kweli mashabiki ndio wanawapa hamasa wachezaji na mpira unachangamka
aisha
Haina kupinga hiyo ni kweli kabisa
Adelta
Ni habari nzuri
Hopemwaikuka
Ndo mpango mzma
Khadija
Habari njema
Caroline
Yess
Magdalena
Kweli mashabiki ndo wanatia hamasa ya kucheza kwa bidii
Issa
Arteta ni moto
Saupha mohamed
Habari njema
neema hassan
Asante kwa taarfa
felister
mmmh
Tatu
Ni Kweli kabisaaa
Sabrina
Kwa kweli mashabiki wanaleta hamasa usajani
Sabrina
Kwa kweli mashabiki wanaleta hamasa uwajani
Sauda
Mashabiki ndo mpango mzima
Tahiya
Kwer kabisa
warda
Mashabiki wanamtaka OZIL Lakin Ozil mwenyewe hawezi kukubali tena kurudi