Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amemtaka mshambuliaji Nicolas Pepe kuboresha kiwango chake na kudhihirisha ubora wake mara kwa mara katika michuano mbalimbali msimu huu.
Hii ni baada ya nyota huyo raia wa Ivory Coast kusaidia Arsenal kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Molde mnamo Novemba 26, 2020 nchini Norway katika michuano ya Europa.
Pepe alishutumiwa vikali na Arteta kwa kuchangia Arsenal walioambulia sare tasa dhidi ya Leeds United uwanjani Elland Road mnamo Novemba 22, 2020 baada ya kupewa kadi nyekundu.
“Alichangia nafasi kadhaa za wenzake kufunga mabao katika vipindi vyote viwili. Swali kubwa ni lini atafikia kiwango ambapo atakuwa sasa mchezaji wa kutegemewa na timu, na ambaye atakuwa katika kiwango cha bora katika kila mchuano,” alisema Arteta.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Adelta
Pepe ni jembe lazima alete mabadiliko
Arsenal
Rahma
Nic
Lydia Emmanuel Magoti
Pepe ni kiungo mzuri mwenye kujituma kwenye nafasi yake nakuitendea aki jinsi kocha anavyo mpanga kumchezesha
Caroline
Pepe kiwango kimeshuka
Khadija
Asante kwa taarifa
Shakila mrope
Mhh ata sijui
Nasra
Gud
Sabrina
Sure
Hopemwaikuka
Kabsaa
Dorophina
Pepe saiz analala sana kama kiwango kinashuka amepotea kabisa asikiki
Magdalena
Pepe kijana mahili
Asia Abdy
Saiv pepe Hana maajabu sn
Sauda
Pepe yupo vizuri
Latifa juma mohamed
Gud
Ester jackson
Safii sana arsenal
Issa
Pepe ataifkisha arsenal pazur
Fatina mfingi
Pepe yuko vizur na hataifukisha timu. Mbali
Janeflora malisa
Safi
Tatu
Pepe yupo vizuri
samiah
Gud
warda
Huwa namkubali sana Arteta