Arteta -"Pepe Anaweza Kuwa Tegemeo Arsenal."


Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amemtaka mshambuliaji Nicolas Pepe kuboresha kiwango chake na kudhihirisha ubora wake mara kwa mara katika michuano mbalimbali msimu huu.

Hii ni baada ya nyota huyo raia wa Ivory Coast kusaidia Arsenal kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Molde mnamo Novemba 26, 2020 nchini Norway katika michuano ya Europa.

 

Pepe alishutumiwa vikali na Arteta kwa kuchangia Arsenal walioambulia sare tasa dhidi ya Leeds United uwanjani Elland Road mnamo Novemba 22, 2020 baada ya kupewa kadi nyekundu.

Alichangia nafasi kadhaa za wenzake kufunga mabao katika vipindi vyote viwili. Swali kubwa ni lini atafikia kiwango ambapo atakuwa sasa mchezaji wa kutegemewa na timu, na ambaye atakuwa katika kiwango cha bora katika kila mchuano,” alisema Arteta.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

21 Komentara

    Pepe ni jembe lazima alete mabadiliko
    Arsenal

    Jibu

    Nic

    Jibu

    Pepe ni kiungo mzuri mwenye kujituma kwenye nafasi yake nakuitendea aki jinsi kocha anavyo mpanga kumchezesha

    Jibu

    Pepe kiwango kimeshuka

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Mhh ata sijui

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Sure

    Jibu

    Kabsaa

    Jibu

    Pepe saiz analala sana kama kiwango kinashuka amepotea kabisa asikiki

    Jibu

    Pepe kijana mahili

    Jibu

    Saiv pepe Hana maajabu sn

    Jibu

    Pepe yupo vizuri

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Safii sana arsenal

    Jibu

    Pepe ataifkisha arsenal pazur

    Jibu

    Pepe yuko vizur na hataifukisha timu. Mbali

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Pepe yupo vizuri

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Huwa namkubali sana Arteta

    Jibu

Acha ujumbe