Nyota wa Barcelona, Arturo VidalΒ anaripotiwa kuwa tayari ameshawaaga klabu ya Barcelona akiwa tayari kuungana na Inter Milan.
Ripoti zinasema kuwa nyota huyu aliamua kwenda kutembelea viwanja vya klabu kwa ajili ya kuwaaga jamaa zake wa Barcelona wakati akiwa mbioni kuungana na Antonio Conte kule Italia
Vidal anatajwa kuwa amefanya mazungumzo na kukubaliana na masharti binafsi ya Inter, huku vilabu hivi viwili vikifikia muafaka wa β¬500,000 pamoja na boasi.
Staa huyu anatarajiwa kutua Italia kwa ajili ya vipimo vya Afya, na huu ndio ulikuwa wakati wake muafaka kuwatembelea wanatimu wenzake anao waaacha na kukusanya vilivyo vyake vilivyokuwa vimesalia klabuni hapo.
Arturo Vidal alikuwa kwenye darubini za Inter Milan tangia mwaka 2018, lakini kwa bahati mbaya Inter walimkosa baada ya kuamua kwenda Barcelona.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
magdalena
yeye anaona inter panamfaa zaidi mawazo na maamuzi yake tusiyapinge kabisa
Tatu
Vidal anaenda kufanya maajabu inter
Fatuma kasomo
Gud news
Hopemwaikuka
Nenda kapa
Hopemwaikuka
Nenda kapambane kwengne uwezo walk tusahauona ndan ya barca
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri nenda kawaonyeshe maajabu mzee baba
Dorophina
Ni sawa kaona kwake yye kwenda inter pana maslai kwakuwa yeye Ni mchezaji mzuri sana
aisha
Kila la kheri Arturo huko uendako kafanye kazi njema
jullie
kila la kheri
Zeiyana
Vidal yupo vizuri kama inter watashilikiana nae kwa pamoja tunaimani hatabadilisha matokea
Hidaya
Kila la kheri
Ernest
Vidal hakuwa na misimu mizuri ndani ya Barca, acha akajaribu bahati yake sehemu nyingine
Angelina
Kila la kheri vidal
Faraja molell
Vidal akafanye maajabu sas
Nasra
Kila kheri
Gabriel
Arturo Vidal atakumbukwa sana kwa mchango wake sana Barcelona
Povel
Vidal bado anakitu mguu mwake ingawah kocha mpya wa Barcelona hajawachaguo lake kila la kheri Kama hatajiunga na wababe wa italia inter milan
Antony Luseno
Kiungo mahiri mno ambaye nilitamani asasjiliwe na klabu yeyote EPL
Rose kapinga
Safar njema
Issa
Inter wamejiimarisha na wana kiu ya kuchukua ubingwa wa seria a
Amiri Kayera
Safi sana Vidal
Rehema
Asante kwa taarifa
Sabrina
Aende tu panamfaa sana
Saupha mohamed
Kila LA kheri
Adelta
Mashabiki wanakutakia Kila la kheri @meridianbettz
Khadija
kila la kheri uko uendako#meridianbettz
Theckla
Kabadilishe upepo huenda msimu huu ukafanya Mambo makubwa ndani ya inter
Revina
Kafanya jambo sahihi kubadilisha upepo ,uzuri wake unajulikana anaweza kufanya vizuri zaidi
Fatina
Duuh
Mwajumah
Vidal anaenda kufanya maajabu inter
Shani
Kila la kheri nyota yake inawe waka inter!
Mwanahamisi
Safi sana vidal
Elika
Duh tutamkumbuka sana
Fatina
Duuh
Caroline
All the best
Angelina
Kila la kheri
Samira
Nilikua bado natamani kumuona barcelona
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Genia Sikaluzwe
Kila la kheri
felister
kila la kheri
David Pere
Vidal hakuwa na misimu mizuri ndani ya Barca, acha akajaribu bahati yake sehemu nyingine