Timu ya Aston Villa inazidi kupoteza matumaini ya kubaki ndani ya Ligi Kuu England msimu ujao baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa mabingwa Liverpool.
Sadio Mane, nyota wa Liverpool alifungua pazia la kucheka na nyavu dakika ya 70 na msumari wa mwisho ulipachikwa kimiani na Curtis Jones dakika ya 89 kwa pasi ya kichwa ya Mohamed Salah.
Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta alitumia dakika 17 kuitumikia Villa, ambapo aliingia dakika ya 73 akichukua nafasi ya Keinan Davis.
Ushindi huo unaifanya Liverpool kufikisha jumla ya pointi 89 huku Aston Villa ikiwa nafasi ya 18 na pointi zake 27 ikiwa timu zote zimecheza mechi 33.
Julai 9, Villa ina kazi ya kumenyana na Manchester United inayonolewa na Ole Gunnar Solskjaer ambayo ipo nafasi ya 5 na pointi 55.
Acha Washuke Tu Watajijua Wenyewe Mbele Ya Safari#Meridianbettz
Hii habari mbaya kwa Aston villa kushika daraja pia inajenga sifa mbaya kwa naodha wao mbwana samatta
Timu waliopangiwa iliwazidi maarifa yakiufundi nandio maana wamepigwa vigori viwili
Aston villa wana roho mbaya sana kocha wao hanatakia haangalie sana wachezaji wake hawana ushilikiano ukiangalia mechi yao hawampi pasi mbwana samata wanamuonea wivu
Mambo magumu
Astovilla kumfunga liverpool sio rahisi liverpool bado wako kwwnye nafasi nzuri
Hizi habari mbaya Sana kwa sisi mashabiki wa mtanzania mwenzangu
Mh Mambo magumu
Hapo kazi ipo mpaka wapande tena sio mchezo
Mambo ni magumu kwa aston Villa wahitahid angalau timu moja ili wasishuke daraj
Duuh jamani sikutegemea kabisa lakini ndio mpira na pia nimeshakubali matokeo
sad news
Asiyekubali kushindwa cmshindani
Simshindani acyekubali kushindwa
Aston villa awez kumfunga Liverpool nilijua tuu kwasababu Liverpool awez kupelekeshwa na Aston villa ndio mtokeo hayo walio yategemea wakubaliane nayote
Aston villar kwa Liverpool wata subili sana
Mambo magunu kweli maana Kama hawatashinda mechi mbili zijazo Ndio tutaagana nao kabisaa
Mambo sio mambo kwa Aston villa .
Watalainika t
Aston villa mambo yashakua magumu kwake, daraja lishamuhusu mtanzania mwenzetu mbwana samatta angelijua hili asingekuja majira haya ya usajili maana sasa ni wakati wake wa kwenda kucheza ligi daraja la kwanza championship na kule ni kugumu Sana hadi upande tena mpambane kweli tumeona timu nyingi zilio shuka daraja hadi Leo hatujaziona tena ligi kuu mfano Qeen park rangers(QPR) hadi Leo tunaisikia tu kwenye bomba kuja kucheza ligi kuu ya england maarufu Kama EPL.
Hapo kazi ipo
Liverpool itazidi kuwa juu siku zote
Aston villa kwa libepool watasuburi sana#meridianbettz
Samatta atajiona ana mikosi
Tunawapa pole wasikate tamaa wazidi kupambana watafanikiwa#meridianbett
Dah nmesikitika sana juu ya Aston vila kukubali kichapo kutoka kwa Liverpool ila wasikate tamaa waendelee kukaza buti kwani wanaweza wakabadilisha mamb msimu hujao
aston villa Mambo yashakuwa magumu
Sio mbaya samatta atafanya tuangalie champions ship maana kila wanapokutana na timu nyingine wanafungwa tu acha washuke daraja tu
Aston Villa bado sana kumfunga Liverpool , maana sio kazi ndogo kupambana na liverpool ,wajipange upya
Aston Villa inahitaji miujiza kubaki EPL#meridianbettz
Duhh
daah Aston Villa anawakati mgumu sana maana anaweza shuka daraja kwa jinsi inavyo onekana.. maana sizani Kama hatoweza kumfunga man u
Aston villa usipoangalia championship itawahusu
Umekuwa wakati mbaya Sana kwa Samatta kutua Aston Villa
Aston villa kazi wanayo
Wameoza nao.
Liverpool wapo juu
Aston villa wapamabane nafas bado wanayo kubak EPL
Kwa Aston villa tushawakatia tamaa
Maoni:Aston vila siwakatish tamaa wajitahidi kuonyesha ushirikiano dimbani kama timu
Wajitaidi tu sasa
Hii gemu Aston villa walipata nafasi nyingi sana sema wakashidwa kuzitumia
Aston Mambo ya shakuwa magumi Ila Hata hivyo timu waliyocheza nayo ni kubwa pia
Mambo sio mambo
Aston villa wapo wakati mgumu sana kwa kipindi hichi sana kocha wao anainekana mzembe kidogo kama angekuwa katika timu za Tanzania angeshaondolewa mapema zaidi ya timu tatu alizocheza nazo ameshafungwa na hatujaona mabadiliko ya timu inabidi aondoke sasa
Liverpool kwa sasa wako vizuri
Liver wapo poa hakuna timu kwa sasa itakayoweza kuifunga liver
Habar njema sana 👍
Liverpool nawakubali Sana
Maoni:jamaa wana mwisho mbaya ila tumuombee sama goal walau apate timu ht kwa mkopo
Sa itakuaje..