Ateba Atamba Kuifunga Yanga

Makala iliyopita
Bremer Akamilisha Upasuaji WakeMakala ijayo
Real Madrid Kuingia Januari Kutafuta Beki wa Kulia
“Sitaki kujua Yanga wana Mabeki wazuri, sitaki kujua kuwa wana ulinzi mzuri, sitaki kujua wana Beki sijui anaitwa Sergio Ramos, kwanza sitaki hata kujua majina yao ila nina uhakika nitaingia uwanjani kwenye derby na nitawafunga Yanga na Simba tutashinda, sitaki kujua wana Beki wa aina gani”