Atletico Madrid Bingwa wa La Liga

Baada ya miaka 6 Atletico Madrid wamechukua Ubingwa wao wa 11 wa Laliga Santander. Atletico Madrid walisubiri hadi mchezo wa mwisho kutangaza Ubingwa na hii ni baada ya kuwafunga Real Valladolid magoli 2-1.

Atletico Madrid

Mara ya mwisho Atletico Madrid kutwaa Ubingwa ni mwaka 2014 wakifanya hivyo pia kwenye mchezo wa mwisho wa May 17 2014, pale Camp Nou baada ya Sare ya goli 1-1 na FC Barcelona.

Jana May 22 2021 Atletico Madrid wametwaa ubingwa pia wakiwa ugenini katika Estadio Manicipal Josee Zorrilla. Huu ni Ubingwa wa pili Kwa Atletico Madrid ndani ya miaka 10.


UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

kane, Kane Aweka Wazi Maazimio Yake Kucheza UEFA., MeridianbetBASHIRI SASA

3 Komentara

    Ongeren san

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.