Atletico Madrid Wamtupia Jicho Marcos Alonso

Klabu ya Atletico Madrid wameripotiwa kuwa wanamtupia jicho beki wa Chelsea Marcos Alonso katika uwezekano wa kumuongeza kikosini wakati wa dirisha la usajili la Januari.

Licha ya kukaa kileleni kwenye msimamo wa La Liga, bosi wa Atletico Diego Simeone ataingia sokoni katika dirisha la uhamisho mnamo Januari kwa akipania kuweka sawa safu yake ya ulinzi.

Muargentina huyo pia anataka kuwa na machaguo ya kutosha linapokuja suala la mabeki wa pembeni, jambo ambalo linaonekana kuwapa Atletico nia ya kumsajili Ainsley Maitland-Niles wa Arsenal.

Atletico Madrid Wamtupia Jicho Marcos Alonso
Marcos Alsonso

Kwa mujibu wa El Chiringuito, Simeone pia anamtamani Marcos Alonso, ambaye anatarajiwa kuondoka Stamford Bridge mwezi ujao.

Mchezaji huyo wa miaka 29 hajapata nafasi ya kuichezea Chelsea tangia mechi waliyotoa sare ya mabao 3-3 ugenini dhidi ya West Bromwich Albion mnamo mwezi Septemba 26, akiendelea kuwa nyuma Ben Chilwell na Emerson Palmieri kwa mpangilio.

Atletico inasemekana wanaandaa mazingira ya kujadili mkataba wa mkopo na klabu yake hiyo ya Ligi Kuu.


 

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

14 Komentara

    Madrid watambeba

    Jibu

    Wamchukue jamaa anajua

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri wamchukuwe

    Jibu

    Dogo anaweza sanaa

    Jibu

    Wamchukue tu Yuko vizuri

    Jibu

    Jamaa yupo vizuri

    Jibu

    Jamaa anajua san wamchukue tu

    Jibu

    Jamaa anajua

    Jibu

    Wamchukue tu

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri

    Jibu

    Marco’s Alonso yupo vizuri

    Jibu

    Yupo vizur

    Jibu

    Dogo mwamba anaweza

    Jibu

    Alonso kesha choka mbona

    Jibu

Acha ujumbe