Shirikisho la vyama vya kandanda Ulaya – UEFA limesema mechi ya robo fainali kati ya Atletico Madrid na RB Leipzig itaendelea kama ilivyopangwa Alhamis licha ya watu wawili wa klabu hiyo kupatikana na virusi vya corona.
Klabu hiyo haikusema kama watu hao wawili ni wachezaji, wakufunzi au maafisa. Lakini vyombo vya habari Uhispania vinasema ni wachezaji.
Atletico imesema raundi nyingine ya vipimo imefanywa leo. Watu hao wawili wamejiweka katika karantini majumbani mwao.
Klabu hiyo imefuta mazoezi yao ya mwisho leo kabla ya kwenda Lisbon. Msemaji amesema wanasubiri kwanza vipimo vya leo.
Mechi za robo fainali zilianza Jumatano mjini Lisbon, wakati Atalanta ya Italia walipokubali kichapo cha 1-2 dhidi ya Paris Saint-Germain na fainali itakuwa Agosti 23.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Ester jackson
Leipzig yuko vizuri sana mana wanaweza sana sidhani kama watawaacha atletico ili ashinde.
Adelta
Hii corona imevuruga mipango mingi sana@ meridianbettz
Nasra
Yuko vzuri sana
Njiku
Ni bonge la mechi
Tatu
Corana IPO acha ishi kil
rama
Maoni:maamuzi mazuri shilikisho limefanya ili uefa iweze kuisha ndan ya muda
Latifa juma mohamed
maamuzi mazuri shirikisho limefanya ili UEFAiweze kuisha vema
Mwajumah
Maamuzi mazuri shirikisho limefanya ili uefa iweze kushinda ndan ya muda#Meridianbettz
Zeiyana
Sikuizi ugonjwa wa korona umekua wakawaida tu si kama zamani watu walikua na of sana wakijiisi wanamaambukizi ya ugonjwa huo
Fatina mfingi
Makala nzur
aisha
Mechi ya kibabe
Khadija
Yuko vizuli sana#meridianbettz
Sauda
Corona imeharibu mipango ya watu..
Ernest
Corona ni balaa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Nibonge ramechi hilo
Sadick
Nasubiri kuona mchezo wa kuvutia, nampa Atletico nafasi ya kushinda#meridianbettz
Venerose
Mchezo huu uko poa sana
Dorophina
Mi nasubilia kuona mtanange huu nan ataibuka kidedea
Rehema
Bonge la makala
Salma ngende
Mambo mazuri sasa
Samiah
Mambo ni moto
farida ahmadi
Mtanange mkali Sana
Caroline
Ndio lazima maisha yaendelee
Povel
Don’t miss
neema hassan
Mtanange wa kibabe
Furahav
Hii mechi ya kibabe.
Fatuma kasomo
Bonge na game
Gabriel
Me naona mech itakuwa kal sana licha ya RB Leipzig kupatwa na majanga ya wachezaji wao kukutwa na corona maana maandaliz yao yalikuwa mazur na ukiangalia rekod yao haijashuka bado cha msingi n kujipanga na kufanya maajabu
Saupha mohamed
Mechi kaliii
Devotha
Asante kwa makala
Neema
Mamboo badoo ni motoo
Asia Abdy
Kumenoga
Sabrina
Hii mechi sio ya kikosaa
Janeflora malisa
Mech kal
magdalena
safi sana
felister
siku hizi corona tuna ishi nayo
Rose kapinga
Duuuuh hatar iyooooo
Tatu
Corana IPO acha iishi kila kitu lazma kiendelee
Hope mwaikuka
Mambo maresh
David Pere
Ilikuwa bonge la mechi
warda
Ila Corona Jamani hatuta isahau #Meridianbettz
Shafii
Nomaa sanaa.