Kocha wa klabu ya Arsenal, Mikel Arteta ana matumaini ya ushindi wa 2-0 waliopata dhidi ya Manchester City katika mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la FA mnamo Jumamosi, utamshawishi Pierre-Emerick Aubameyang kusaini mkataba mpya.
Hatma ya Aubameyang kwa Arsenal haijulikani, huku uvumi katika miezi michache iliyopita ukimuhusisha kuondoka, mkataba wa nyota huyo kimataifa wa Gabon unaendelea hadi mwisho wa msimu ujao.
Nahodha huyo wa The Gunners alifunga Mabao yote katika kila kipindi cha mechi hiyo hapo jana huko Wembley na kuisaidia Klabu yake kufika fainali kwa rekodi mara 21 ya Kombe la FA .
Ni Muendelezo wa wiki bora kwao baada ya kuwafunga Mabingwa wa PL Liverpool 2-1.
Arteta ana hamu ya kumbakiza mshambuliaji wake nyota kwa mkataba mpya na anahisi ushindi wa upande wake dhidi ya City ndio haswa Aubameyang alihitaji kuona.
“Natumaini itamsaidia kuamini zaidi kuwa tunaenda katika mwelekeo sahihi,” Arteta aliiambia BBC Sport juu ya Aubameyang baada ya mechi.
“Tuna wiki nzuri ya kuzipiga timu mbili bora barani Ulaya, haifanyika kila siku. Sijali ni nani tunacheza nae, ninaweza kuwaamini wachezaji wangu wote, tulifanya mabadiliko na kila mtu alikuwa tayari. Tulilazimika kuteseka kwa muda mwingi, ilibidi tujipange vizuri.” aliongeza kocha huyo wa Gunners.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
aisha
Kocha wa Arsenal anajiamni sana
Elika
Aubameyang asiondoke asaini mkataba mwingine hapo
warda
Pierre Nae Anaipendaga sana Arsenal#Meridianbettz
Zeiyana
Kwa uwezo wake alio huwonesha kipindi hiki aubameyang amekua staa kwenye clab ya arsenal hii ni habari nzuri kwa mashabiki wa arsenal
Magdalena
Tunausubiri kwa nguvu zote huu mtanange
Sadick
Wachezaji wengi siku hizi wanataka pesa zaidi na kucheza ktk timu yenye mafanikio tayari, hawataki kutoa jasho jingi kutafuta mafanikio. Mikel Arteta anatakiwa kufikiria wachezaji wenye malengo ya muda mrefu na Arsenal#meridianbettz
Ester jackson
Habari njema kwa mashabiki wa arsenal
Khadija
Habari njema kwa mashabiki#meridianbttz
Fatina mfingi
Makal nzur
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Revina
Habari njema kutoka Meridianbett
Mwanahamisi
Makala nzuri
David Pere
Kama anaona Kuna mafanikio kwake atashawishika kubaki pale lakini Kama anajitambua ni Bora asepe tu
Neema juma
Naona tunazidi kupata mapya kutoka meridianbet
Antony Luseno
Klabu ikiwa inashinda vikombe wachezaj kuhama kwenda kwingine uwa ni vigumu
Theckla
Itakuwa vizuri akiendelea kuitumikia arsenal
felister
Habari njema kwa mashabiki arsenal
Lydia Emmanuel Magoti
Klabu ikiwa ipo vizuri wachezaji kuama inakuwa vigumu sana
Issa
Auba arsenal ni timu ya msimu utafute chaka lingine kuendeleza kipaji chako
jullie
Anapotea
Salma
Habari nzuri
Samiah
Nihabari njema sanaaa
Furahav
Baki tu hapo.
kabogoro II
Maoni:
kwa uwezo aliokuwa nao aubamiyang kam angekuwa anacheza mbele ya King MESSI basi
angekuwa mchezaj bora wa dunia mda cmref.
Ernest
Endapo kama kuna Club kubwa zitaleta ofa kwa Arsenal juu ya Aubameyang basi atakiwi kulaza damu kama anahitaji mafanikio zaidi.
devotha
ni habari njema sana kwa wapenzi wa arsenal
Ester mmakasa
Arsenal wako vizuri sana safari hii.
Isaya massawe
Ni vema wakamshawishi akasalia arsenal maana ni mchezaj muhimu
farida ahmadi
Habari njema Sana kwetu mashabiki wake
Rehema
Habari mzuri
Rose kapinga
Hii ni nzur kwa arsenal
Sadick
Aubameyang anataka timu inayoshiriki UEFA champions League na Arsenal pamoja na kufikia fainali ya FA haitashiriki Ligi za Ulaya. Sidhani matokeo haya yatamubakisha#meridianbettz
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
Fatuma kasomo
Habari njema kwa arsenal
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki
Hope mwaikuka
Fresh akienda
Povel tz
Habar njema
sabrina
Abaki tu
Emmy cleopa
Imekaa vizuri sana
Shafii
Aubameyang kaweka imani kubwa Sana kwa wana gurners zidi ya mechi na man city kwa parformance aliyoifanya.
Amiri Kayera
Ataondok t labd wachukue kombe
Asia Abdy
Maslahi ndo kla kitu
tumaini
Maoni:asante kwa makala nzuri
Frank Patrick
aendelee na matumaini yake ila tu ajue tunawasubiri Community shield
Latifa juma mohamed
Gud news
Theonestina
Saafi sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Franky
Good news
[email protected]
Habari njema
Omary lukumbi
Mikel arteta ana jiamin sana ila mdomo utakua mponza
caroline
Aubameyang anataka kwenda arsenal ..mhhh
Zuhura omary kindamba
Habali njema kwa mashabiki wa arsenal
Njiku
Gud news