Baba Alitaka Nisaini Man United - Terry

“Wakati nikiwa nina miaka 14 nilipata nafasi ya kujiunga na Arsenal, Chelsea au ata Man utd, lakini nilipoitembelea Chelsea kwa mara ya kwanza nilijisikia vizuri sana kuwa Chelsea. Lilikuwa swala gumu sana maana baba yangu hakutaka nijiunge na Chelsea.”

“Na nakumbuka ata fomu yangu ya kwanza kuisaini kujiunga Chelsea, baba alikataa kutia saini yake.”

“Aliniambia, wewe hupaswa kucheza Chelsea, unatakiwa kujiunga na Man utd, na kama ukitaka kucheza hapa, sitokuja nawewe kusaini fomu yako, nami nilimjibu, kwa 100% nina hakika kwamba nataka kusaini hapa (Chelsea).”

“Lakini swala gumu likawa siwezi kusaini fomu bila mzazi, hivyo mama yangu akakubali kuja kusaini ingawa baba alipinga sana.”

“Kuna picha alikuwepo mama na Graham Rix (alikuwa kocha wa akademi ya Chelsea) ile picha ilikuwa wakati mama aliposaini fomu yangu ya kujiunga na Chelsea.”

“Nilijua kabisa kwamba Chelsea patakuwa sehemu yangu ya muhimu sana na nashukuru hilo lilitimia. Japo siku moja niliyotamani iwe bora sana kwangu lakini ikawa siku ya maamuzi magumu sana kuwai kuyafanya (kupingana na baba mzazi).”

44 Komentara

    Safi sana amefanya jambo jema

    Jibu

    Msimamo wa maamuzi ndo kitu muhimu kikubwa kuusikiliza moyo unataka nini

    Jibu

    Ni jambo zur kufanya jambo ambalo moyo wako una hitaj kutenda sio kwa kuforce ya mtu unatakiwa kusikiliza moyo wako unataka nn ndicho alicho fanya jonh terry

    Jibu

    Terry alifuata moyo wake ni safi sana mana halifanya mengi kwa timu yake ya chelsea

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Wengi tulikuwa hatufahamu hili asante kwa kutujulisha meridian

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Good news

    Jibu

    safi kila mtu ana maamuzi yake

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Amefanya Jambo jema

    Jibu

    Maamuzi ni yako John Terry pia hata baba ako alikuchagulia timu sahihi tyuu sio mbaya irimradi zote ni za premier league

    Jibu

    Duuh ongera sana kwan moyo ukiamua umeamua#meridianbettz

    Jibu

    Ujeuri tu kilichomfanya asiende United ni kitu gani #Meridianbettz

    Jibu

    Amefanya maamuzi sahihi

    Jibu

    Kuna muda unatakiwa uwe na maamuzi yako binafsi

    Jibu

    Vzur sio kuamuliwa tu kila ktu

    Jibu

    Kikubwa mapenzi na timu

    Jibu

    Maamuzi yake ni sahihi kwasababu kitu ambacho anakifanya ni cha Kwake yeye nasiyo wazazi#meridianbettz

    Jibu

    Terry ungesaini united

    Jibu

    Uamuzi mzuri ni ule unaoamua mwenyewe bila shinikizo wala kushawishiwa na mtu. Mama Terry amenikumbusha tabia za akina Mama wengi kutopingana na matakwa ya watoto wao#meridianbettz

    Jibu

    Wazazi wanapenda kuwapangia watoto cha kufanya.sio jambo zuri sana

    Jibu

    vzur anamsimamo fanya kitu kujifurahisha ww na si kufurahisha mtu

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    John terry nimchezaji maarufu sana clubin hapo Chelsea pia hata kwa club nyingine john terry alikuwa captain wa timu hiyo kwa kipindi chote mpaka kustaff kwake aliipenda sanaa Chelsea

    Jibu

    Jambo ulilolifanya Ni la mahamuzi mzazi hatakiwi kumpangia mtt maamuzi yake

    Jibu

    Kafanya maamzi sahihi

    Jibu

    Amefanya Jambo zuriu in

    Jibu

    Mara nyingi wazazi wakiume wamekuwa wakishindwa kuwasupport watoto wao kwenye masuala mbalimbali lakini wakina Mama wamekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha watoto wanaishi katika ndoto zao.

    Jibu

    Sio mbaya licha ya kutokusaini man united uzuri ni kwamba amepata mafanikio makubwa chelsea

    Jibu

    Baba ake ni mhabiki wa Man U ,Ila mtoto kaipenda Chelsea

    Jibu

    Kafanya maamuzi sahihi

    Jibu

    Maoni:napenda watu wenye msimamo ni vzuri kuchukua maamuz

    Jibu

    Maamuzi sahihi

    Jibu

    Baba yake terry…shabiki wa man utd!?

    Jibu

    Bora alivyoaain Chelsea maana man angepotea

    Jibu

    Duh nilikuwah cjui hlo thnks meridian bet kwa update za michezo

    Jibu

    Tunaheshimu wazazi kwa maamuzi yao wakati mwingine inatupaswa tuanglie maamuzi yetu na upenzi wa kitu Fulani wapi nafaa kufiti

    Jibu

    Angesikiliza uwamuzi wababa yake ingekuwa poa sana

    Jibu

    Mchezaji wa kukumbukwa Chelsea kwa mazuri na mabaya yake

    Jibu

    Unatakiwa ufanye kile unachokipenda.

    Jibu

    Mapenzi yake mwenyewe john tery yalikua kuitumikia Chelsea

    Jibu

    Nivizuri alivyo mwambia ila yeye Kama yeye nayeye ana huwamuzi wake nakufanya kitu anacho kiataji kwenye nafsi yake yupo sahii kwakweli

    Jibu

    Kafanya maamuzi sahihi

    Jibu

Acha ujumbe