Barca Inamshinikiza Arthur kuelekea Juventus!

Gazeti la Uhispania AS linasisitiza kwamba Barcelona bado wanajaribu kumshinikiza Arthur kukubali kukamilisha dili la kubadilishana na kiungo wa Juventus Miralem Pjanic.

Mbrazil huyo alisema mara kwa mara kwamba hana nia ya kuondoka Camp Nou, na akajitahidi kutia bidii katika kwa klabu yake hiyo.

Aliwagharimu € 31m akitokea Gremio msimu wa joto wa mwaka2018 na haujaweza kuwakosha vilivyo Barca kama walivyomtarajia, na hivyo hawa ‘Blaugrana’ wanamchukulia kama mchezaji asiyeendana na kasi yao.

Barca Inamshinikiza Arthur kuelekea Juventus!
Barca Inamshinikiza Arthur kuelekea Juventus!

Ingawa mchezaji huyo wa miaka 23 ameweka wazi kuwa hataki kutemana na Barcelona, ​​ripoti za chanzo cha AS zinaendelea kutaja kwamba Klabu bado inajaribu kumshinikiza kuondoka.

Wakati huo Pjanic na Maurizio Sarri wana hamu ya kuona Arthur anaweza kutumika vipi pale Turin, lakini ukaidi wa staa huyu ndiyo ndio kitu pekee kinachoshikilia dili hili.

Arthur amecheza mechi 23 za ushindani hadi sasa msimu huu, akichangia mabao manne na kutoa asisti nne.

Hata hivyo, alikuwa na changamoto wa kifundo cha mguu na kiuno katika miezi ya hivi karibuni na akashindwa kuonekana vyema.

Mkataba wake na Barcelona utadumu hadi Juni 2024.

 


48 Komentara

    Wasimfosi uwenda mahamuzi yake yakawa sahihi

    Jibu

    Kaza hapo hapo tu

    Jibu

    Mchezaj mzur Sana haende habadilishe mazingira

    Jibu

    Ila Barcelona nawajua walivyo hawapendi mambo ya ajabu kwahy uamuzi wanaotaka wao ni sahihi

    Jibu

    Duuh! Lakini mwenyewe anahitaji kubaki Barcelona inakuwaje wamshinikize mwenzao?

    Jibu

    Aeende tu kwan juventus mambo sasa yamekuwa mazuri kwanza atakutana na mfalme cr7 akiwa nae atabadilisha mitazamo ya makocha

    Jibu

    Wamuache tu mana hata yeye hayuko tayari na anazidi kuongeza juhudi

    Jibu

    Kijana anapewa nafasi ya kwenda kukua zaidi kwenye club nyingine

    Jibu

    Mchezaji mzuri kwann wanamfosi kuama

    Jibu

    Bora aondoke maana mwisho wa siku bench itamuhusu

    Jibu

    Arthur huwa anajivuta sana #Meridianbettz

    Jibu

    Barca msimlazimishe muacheni huenda akatengeneza kitu kizuri

    Jibu

    Abadili tu mazingira bana,

    Jibu

    Kijana mwacheni aende kubadili mazingira msimlazimishe

    Jibu

    Kwa swala la kumshinikiza mchezaji sio zur bora wampe maamuz mwenyewe binafsi

    Jibu

    Mbona wanamshinikiza Sana au wammemchoka tayari wakati ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Yuko vizuri Anthur km vipi baki hapo Camp nou,uendelee kuongeza kipaji chako.

    Jibu

    Huyu dogo ni mchezaji nzuri Sana Sasa Hawa Barcelona wakijichanganya tu kuuza watakuja mnunua kwa Bei kubwa Kama , Wenzao Man u kwa Pogba

    Jibu

    unjajua akufukuzae hakwambii toka, huyu Arthur inabidi ajiongeze maana mwisho wa siku atakaa benchi kabisa.

    Jibu

    Club inamuona haendani na kasi yake hana budi kuondoka huenda Juventus akang’ara#meridianbettz

    Jibu

    Sio sahii kabic kila mtu hanamaamuzi yake

    Jibu

    Wamuache abaki hapo hapo maana yeye ndio moyo wake upo hapo

    Jibu

    Wamwaje wasimlazimishe wampe uhuru ili afanye maamuz sahihi

    Jibu

    Mchezaji nzuri wampe muda#meridianbettz

    Jibu

    Wamuache tu sababu naye hayupo tayari.

    Jibu

    hana nia ya kuondoka Camp Nou, na ajitahidi kutia bidii katika kwa klabu yake hiyo.pia kupiga Sana mazoezi

    Jibu

    Wampe ruhusa akatafute changamoto maisha sehemu nyngne thnks kwa update

    Jibu

    Mchezaji mzur sana huyo wasimfosi kuama

    Jibu

    Arthur ungebaki tu mana nyota yako iko hapo barca.

    Jibu

    Wanakosea sana kumshinikiza aondoke wakati ndoto zake ni kucheza pale

    Jibu

    Alivyokuwa Barcelona alikua mchezaji mweny kiwango kikubwa kwahy ni nzur akilud ilikukuza kiwango zaid

    Jibu

    Ni mchezaji Bora ila wasifanye halaka ya kumfosi uwenda akawa na maamzi mazuri

    Jibu

    Ukiona ivo juá Barça hawana maslai nae

    Jibu

    Akufuzae akwambii toka hata juventus pia itamfaa tu

    Jibu

    Mchezaji mzuri sana wasimfosi kuama

    Jibu

    Nivizuri kwakuwa anavyotoka kwenda semu nyingine kipaji chake kinazidi kukua

    Jibu

    barc wanampango wa kupunguza wachezaji mizigo list yake ni ndefu sikufikilia kama naye yumo nilidhani watampa nafasi

    Jibu

    Asanteni meridianbet kwa taarifa.nilikuwa Sina hizo taarifa

    Jibu

    huyu jamaa inaonyesha kua muda unavozidi kwenda atakosa nafasi ya kucheza ni bora tu angeondoka barca

    Jibu

    Kiwango kimeshuka barcelona hawamtaki..

    Jibu

    Safi sana kama hakuweza kushawishika na inter

    Jibu

    Asanteee sanaa meridian kwa taarifa

    Jibu

    Angekubali kuondoka huenda akapata jina kubwa akifika uko juventus

    Jibu

    Lakini mwenyewe anahitaji kubaki Barcelona inakuwaje wamshinikize mwenzao?

    Jibu

    kwanini wamshinikize kwenda juventus

    Jibu

    Niheri akaenda juventus maana aileti maana kukaa sehem usiyokubalika#meridianbettz

    Jibu

    Gud newz

    Jibu

    Mchezaji mwenyewe ndio anaamua pakwenda na sio kumhimiza Arthur

    Jibu

Acha ujumbe