Klabu ya Tottenham inaripotiwa kuwa ilikataa ofa ya Barcelona ya kumnunua Harry Kane msimu wa joto uliopita.
Barcelona wamekuwa sokoni wakisaka mshambuliaji mpya wakati Luis Suarez akionekana yuko ukingoni mwa mda wake katika soka.
Kwa mujibu wa chapisho la Mundo Deportivo, Barcelona wamekuwa wakipanga kwa mda mrefu kumpata mrithi wa Suarez na wameona Kane ni mbadala anayefaa kurithi nafasi hiyo.
Barcelona wanasema walijaribu kumsajili Kane lakini walitolewa nje na ada kubwa ya usajili iliyotajwa na mwenyekiti Daniel Levy.
Kwa sasa inadhaniwa kuwa Barcelona hawatatarajia kuejea kuwabembeleza Spurs katika manunuzi yao ya msimu ujao wa uhamisho. Wanatarajiwa kuwa watatumia mteremko wa janga la corona ili kumnasa straika kutoka Serie A.
Kutoka Italia, mshambuliaji wa Inter Milan, Lautaro Martinez ndiye yupo kwenye orodha ya wanaowindwa zaidi na Barcelona.
Wakati huo, Kane alishaweka wazi kuwa atalazimika kusepa Spurs ikiwa vijana hao wa Mourinho watashindwa kufanya mapinduzi na kupata mafanikio ya haraka ikiwa ni pamoja na kushinda mataji muhimu ikiwa ni pamoja na Ubingwa wa Ulaya.
aisha
Duuh kwanini walikataa jamani
Theckla
Ken ni mshambuliaji ambaye huwa nampenda Sana hasa akiwa ktk safu yake ya ushambuliaji anajua kucheza na mpira
mathayo sonje
tottenham wanatikisa kiberiti tu, maana hawajawekewa dau la kutosha, barca wakipandisha dau la kutosha wenyewe wataachia
David pere
Tatizo la wachezaji wa kiingereza wanawapamba Sana na kuwauza pesa nyingi ,Naukiangalia baca hawana pesa kwa sasa
Lydia Emmanuel magoti
Kwann wamekataa kumsajiri Kane kiungo mzuri uyo
Emmy cleopa
Barcelona mkipambana mtampata tu kane #meeidianbettz
Ester mmakasa
Kane yuko vizuri kumbe mpaka dau lake ni kubwa hivyo.
Dorophina
Inabidi waongeze dau maana Ni mchezaji mzuri sn
Salma
Mbona yupo vizuri
Warda
Club ya Simba wanamtaka sana huyu jamaa#Meridianbettz
Tahiya
Kane ni mchezaji mzur alistahili kwenda Barca ila dau ndio limemwangusha
Neema hassan
Kane fundii barcelona waongeze dau..
Magdalena
Duh hatar basi #meridianbet
David pere
Tanga nao weingilia Kati kwenye usajili wake
Mwajuma
Barcelona wajitahidi kupambana wampate kane
Evaluziga
Du meridian mko juu
Mwanaidi
asanteni kwa habari za uhakika
mwakalosi
Barcelona wangempoteza kiwango Kane
Samiah
Kane jembe
Rehema Dickson
Why mbona kane mchezaji mzuri sana jamn
Ester jackson
Kene yuko vizuri sana na amekuwa bora zaidi katika timu ya Tottenham
Amani
Awakuwa nania ya kumsajili #meridianbettz
lombo
gud newz
Antony Luseno
Kwa safu ya Barcelona ya ushambulizi angesumbua sana
Mariam mtandama
Yupo vizur
Gabriel
Good news 👍@# meridianBetTZ
winfrida
thnks meridian bet tz
Theonestina
Habari njema
povel
thnks meridian kwa information
Theonestina
Daaah
Kenani
Hyu dgo ni fundi sana
Juliana
Da!
Aziza mushi
Asnte meridian kwa habari
Christopher
Huyu anafaa kucheza EPL tu ligi zingine hazimuwezi abaki zake spurs
Isaya massawe
Wangekua moto sana kama wangempata kane
Zeiyana iddi
Kane hanajua sana..!
Khadija
kane yupo vzr sana#meridianbettz
frank patrick
Kane ni mzuri sana ila sio wa aina ya uchezaji wa barca
Hamidu
Kane ni mshambuaji mzuri.ila kwa waingereza wagumu kutoka nchi .
Genia Sikaluzwe
Habari njema na #meridianbet