Barcelona Imekuwa Timu ya Biashara- Dani Alves.


Akiwa kaacha alama na kumbukumbu nzuri katika soka hasa katika ule upande wa nafasi ya beki wa kulia na siku zote Dani atabakia kuwa na uhusiano na waKatalunya na tayari mBrazil huyo amefunguka na kudai kuwa Barcelona hapo kabla walikuwa na utambulisho wao, lakini sasa hivi wamekuwa ni timu ya kibiashara.

Kipindi cha Josep Maria Bartomeu kimeshapita, lakini matunda yake yatadumu kwa miaka kadhaa ijayo.

Akiongea na RAC1 Alves alisema “Hapo kabla, Barcelona walikuwa na utambulisho wao. Wamepoteza hicho kitu, Kinachowafanya Barcelona kuonekana wa tofauti ni mtindo wao na tamaduni zao; katika maisha hutakiwi kujaribu kuwa vile ambavyo haupo.”

 

Barcelona Imekuwa Timu ya Biashara- Dani Alves.

Barcelona sasa wanajaribu kuwa timu ya kibiashara, badala ya kuwa timu yenye mwonekano wake wa kipekee” Hivi karibuni klabu imesajili wachezaji waliowahitaji na ambao wange’fit katika falsafa ya klabu,”

Sasa wamesajili watu wengi pasipo kujali utamaduni wa Barcelona, wachezaji wengi wa gharama, lakini wasioilinda tamaduni ya klabu. Menejimenti imegeuka kuwa na tabia za “Mbovu”. Timu imezoea kuilinda falsafa yake, lakini sasa haifanyi hivyo tena”.

Alves akiongelea kuhama kwake Camp Nou na kujiunga na Juventus alidai kuwa “Nafikiri Batromeu alishawishiwa na wanaomzunguka.

Walitaka kuniacha niondoke pasipo hata kunambia. Naipenda ile klabu, nisingeweza kusaini sehemu nyingine yoyote, ilikuwa ni kunikosea heshima.”


USHUJAA UNAKULIPA HAPA!

Hii ni halisi kwa ajili ya mashujaa wote! Ukiwa jasiri unavuna mkwanja kibao hapa na sloti hii ya Huangdi Casino. Waka nusu tukupe maradufu!

Ratiba ya Soka Ligi Mbalimbali.

Ingia Mchezoni!

22 Komentara

    Mbona mambo hayo

    Jibu

    Ni kwl Barcelona ni brandly kubwa sana co kila msimu wanapambana katika soko la biashara kuuza na kununuah wachezaj hvy huwafany kuwa juuu kimaendeleo ya soka mpka kiuchumi katika kila msimu hvy mchezaji yyte akienda pale laZima wa m brandly ilihawez kuingiah soko iliwawez kufany biashara

    Jibu

    Kwa miaka mingi Barcelona ilikataa kuwa na wadhamini na hivi karibuni wamekubali na Mazingira yanabadilika sio rahisi tena kwa timu nyingi kulinda utamaduni wa timu. Zamani iliwezekana kwasababu timu nyingi zilikuza wachezaji wake wenyewe na sasa hivi zinanunua ili kubaki ktk ubora wake.

    Jibu

    Ni kweli barca kwa sasa wamekuwa watu wa biashara kwa upande wa wachezaji

    Jibu

    Barcelona wanasajili wachezaji wa gharama kubwa.

    Jibu

    Nikweli inawachezaj wazur sanaa

    Jibu

    Ni kwl anachosema dani Alves Barcelona wamekuwah watu wa kuuza na kununua nje na ndani ilikukuza uchumi na soka lao kiujumula

    Jibu

    Ni nyakat tu watakua sawa

    Jibu

    Nayaamini maneno ya Alves

    Jibu

    Mess ndio anaibeba barcelona ni mchezaji anayeuzwa bei kubwa

    Jibu

    Ni ukweli mtupu

    Jibu

    Barcelona saivi wapo vizuri

    Jibu

    Ni chama kubwa kwaiyo lazima wawe ktk mfumo huo

    Jibu

    Sasa naanza kuyaamini maneno ya Alves

    Jibu

    Barca imekua ovyo sana

    Jibu

    Barcelona wanakwama wapi

    Jibu

    Barca bado sana

    Jibu

    Kweli kabisa ni klabu ya biashara hasaivi wachezaji wanaocheza pale wanauwezo mzuri pia ambao wanalipwa pesa nyingi

    Jibu

    Barcelona mnakwama wapi

    Jibu

    Nakubali Barca iko kibishara

    Jibu

    Nakubali barca yuko kibiashara

    Jibu

    Ni kwer

    Jibu

Acha ujumbe