Beki wa Manchester City, Eric Garcia, 19, amekubaliana makubaliano binafsi (personal terms) na timu yake ya zamani Barcelona kujiungana nao mkataba wake utakapo malizika katika majira ya kiangazi.
Eric Garcia alikataa kuongeza mkataba mpya na City na inasemekana amekubaliana mkataba wa awali wa miaka 5 na Wakatalunya.
Barcelona wanahitaji kwanza kukubaliana na Manchester City ili kukamilisha dili hilo wakati timu hiyo ilikataa dau la milioni £9 katika dirisha kubwa la usajili msimu uliopita.
Kulingana na ripoti kutoka nchini Italy zinasema Barcelona wanahitaji kukamilisha dili la Garcia katika dirisha hili la mwezi january.
Lakini kama watashindwa kufikia makubaliano na City, watashuhudia mchezaji huyo akiondoka kama mchezaji huru katika dirisha la majira ya kiangazi.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
warda
Watakua wamefanya poa sana Eric yuko vizuri
Magdalena
Barcelona wamefanya jambo zuri
Janeflora malisa
Safi
Shakila mrope
Good New York
felister
habari njema kwa mashabiki wa barca
Adelta
Barcelona wako vizuri
Sarah
Jambo zuri walilolifanya Barcelona
Angelina
Ni jambo zuri
Sania
Habari njema kwa wana Barcelona
Rahmal
Ni jambo zuli
Hopemwaikuka
Gud idea
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa barca
Lydia Emmanuel Magoti
Barcelona wamefanya vizuri sana
Issa
Nou camp wamrudishe mtu wao
Gabriel
Safi sana
Saupha mohamed
Safi